• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

NAIBU WAZIRI NDEJEMBI ATEMBELEA UBUNGO

Posted on: December 16th, 2022


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (MB) amesema Serikali ya awamu ya sita ya Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndani ya miezi 20 ya uongozi wake imeendelea kusimamia stahiki za watumishi ikiwemo upandaji wa madaraja, kulipwa kwa malimbikizo ya mishahara na mengine mengi mazuri ya kiutumishi.

Hayo ameyasema leo akiwa kwenye ziara yake ya kuitembelea Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo wakati anasikiliza changamoto za watumishi wa manispaa hiyo ambapo pia alifanya ukaguzi wa kikundi cha wanufaika wa TASAF wilayani humo.

Ndejembi amewataka watumishi wa Manispaa hiyo kuhakikisha wanampango kazi wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku ikiwa ni pamoja na kuwa wabunifu, kuwajibika ipaswavyo na kutoa huduma bora ili kuendelea kutatua kero za wananchi kwa maslahi ya Taifa kwa ujumla.

Watumishi wa Manispaa ya Ubungo wakimsikiliza Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (MB) (hayupo pichani) alipotembelea halmashauri hiyo.

Aidha, Ndejembi amewataka watumishi hao kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kuzingatia sheria, kanuni na taratibu wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Beatrice Dominic ameeleza kuwa Manispaa ya Ubungo ina idadi ya watumishi 4,397, watumishi 218 walibadilishiwa Muundo kutokana na kujiendeleza kielimu, 742 wamepanda madaraja kwa mujibu wa kanuni za kiutumishi na watumishi 1,559 malimbikizo yao yalilipwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Deogratius Ndejembi (MB) akikagua  kikundi cha wajasiliamali kinachonufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) Ubungo


Nae Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Kheri James amesema Manispaa ya Ubungo inajivunia kwa mapinduzi makubwa yanayofanywa na Serikali katika kuleta mageuzi ya haki na kuzingatia stahiki za watumishi.

“Tunaona mageuzi makubwa yanayofanywa kwenye upandishwaji wa vyeo kwa watumishi, mafao ya watumishi, ongezeko la mishahara ya watumishi na mengine mengi mazuri yanayofanywa na Serikali ya awamu ya sita” Alisema James.

@utumishi8
@dndejembi

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa