• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

RAS MHITE ATEMBELEA UBUNGO, ASISITIZA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: September 12th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam  Ndg  Abdul Mhite Septemba 12, 2025 ametembelea Manispaa ya Ubungo kwa lengo la  kuzungumza na wafanyakazi katika Manispaa hiyo na amesisitiza  kujikita katika ubunifu wa vyanzo vya mapato na kufanya kazi kwa weledi

Katika kikao hicho amepokea taarifa ya utendaji kazi  kwa mwaka 2020/2025 iliyowasilishwa na mchumi wa Manispaa hiyo iliyoeleza  changamoto, mafanikio, na fursa zilizopo Ubungo Akizungumza wakati wa kikao hicho Ras Mhite, amesisitiza nguvu na maarifa katika ukusanyaji wa mapato pamoja na ubunifu, Katika suala la ubunifu alisema tufikirie sana wananchi ambao hawana ajira ili kubuni miradi itakayo ongeza ajira na kukuza kipato kwa wanachi wa ubungo

Pia, amesisitiza umuhimu wa matumizi ya teknolojia  na vifaa vya kisasa  katika utendaji kazi ndani  na nje ya ofisi  ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia  yanayoendelea ulimwenguni,  kwani teknolojia inarahisisha utendaji kazi. 

Aidha umuhimu wa mshikamano na uwajibikaji kwa watumishi wa umma kwa kuwahudumia wananchi wanaofika katika ofisi za wilaya kwa kuzingatia lugha nzuri na weledi ili kutatua changamoto zao  na hii itapelekea kupunguza  idadi ya watu wanaoenda ngazi ya mkoa kutafuta suluhu.

 Ras Mhite amesema kuwa Serikali inaendelea kuimarisha mazingira bora ya kazi pamoja na kusikiliza maoni ya wafanyakazi ili kuongeza tija katika utoaji wa huduma.

Alihitimisha kwa kuwataka watumishi kufanya kazi kwa kushikamana, kupendana na umoja kama timu ili kupata matokeo chanya 

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Dkt. Aron Kagurumjuli amemshukuru RAS kwa kutembelea Manispaa ya Ubungo na kueleza kuwa kupitia kikao hicho kimeongeza mwamko mpya wa kazi na kuimarisha mahusiano kati ya wafanyakazi na uongozi wa Mkoa.





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA UONI DUNIANI KWA UPIMAJI BURE WA MACHO ZAHANATI YA GOBA

    October 15, 2025
  • DC MSANDO ATEMBELEA MRADI WA MAJI KING'ONG'O, AONGEZA MUDA KWA DAWASA KUKAMILISHA KWA UBORA

    October 13, 2025
  • DC MSANDO AWATAKA WENYEVITI KUWASILISHA TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI

    October 04, 2025
  • SERIKALI KUJA NA MPANGO WA DHARURA NA HARAKA KUTATUA CHANGAMOTO YA USAFIRI WA MWENDOKASI

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Video

UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA | WANAFUNZI WAASWA KUJITUNZA
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa