• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

RC CHALAMILA AFANYA ZIARA UBUNGO, ASISITIZA UCHAPAJI KAZI NA USHIRIKIANO

Posted on: May 31st, 2023

Mapema leo Mei 31, 2023 mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea Wilaya ya Ubungo kujitambulisha kwa watumishi wa wilaya na Manispaa ya Ubungo na kutoa maelekezo ya mwelekeo wake wa kiuongozi ndani ya mkoa huu 

Mhe. Chalamila amefanya ziara hiyo ndani ya Wilaya ya Ubungo kufuatia kuhamishiwa mkoa wa Dar es Salaam kutokea mkoa wa Kagera

Akitoa salamu za ukaribisho, mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amempongeza Mhe. Albert Chalamila kwa kuendelea kuaminiwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na amemuahidi ushirikiano wa kutosha pamoja na utekelezaji wa maagizo yake

Sambamba na hilo Mhe. Komba amemweleza mkuu wa mkoa kuwa Wilaya ya Ubungo imeendelea kujidhatiti kwenye utoaji huduma bora kwa wananchi na ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta mbalimbali. Pia ukusanyaji wa mapato ambapo kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Makadirio ya makusanyo ya mapato ni Bilioni 32 na mpaka sasa zimeshakusanywa Bilioni 28 sawa na asilimia 90 ya matarajio. 


Akiongea katika kikao hicho Mhe. Albert Chalamila amewataka watumishi wa umma wa Wilaya na Manispaa ya Ubungo kuweka jitihada, nidhamu, ubunifu na uvumbuzi kwenye kutoa huduma bora kwa wananchi ili kutafsiri maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa uhalisia 

"Watumishi wa umma tuna dhamana ya Mhe. Rais hivyo tunalo jukumu la kutoa huduma bora kwa wananchi ili tujitendee haki sisi wenyewe pamoja kumtendea haki Rais wetu. Pia ushirikiano na upendo ni nguzo kubwa za kufanikisha malengo na matarajio ya wananchi kwetu sisi watumishi" alisema Chalamila 

Aidha Chalamila ameiagiza Manispaa ya Ubungo kushughulikia changamoto za makundi kama vile kundi la watu wa bajaji na makundi mengine ya wajasiriamali katika jamii juu ya changamoto zinazowakabili 

Akitoa shukrani katika kikao hicho naibu meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Yusuf Yenga amemshukuru mkuu wa mkoa kwa kufanya ziara hiyo na amemhakikishia ushirikiano wa kutosha wa baraza la madiwani na Manispaa kwa ujumla katika kipindi chake cha uongozi katika mkoa wa Dar es Salaam

Mkuu wa mkoa wa dar es salaam Albert Chalamila akiongea na watumishi wa  Manispaa ya Ubungo



























Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa