• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

RC CHALAMILA ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI WA JIMBO LA KIBAMBA

Posted on: April 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila  April 9, 2025 amefanya mkutano wa hadhara katika kata ya Saranga Jimbo la Kibamba wenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa jimbo hilo ambapo ameahidi kuzipatia ufumbuzi kero mbalimbali zinazowakabili wananchi hao.

Akisikiliza kero za wananchi wa Kata ya Saranga, RC Chalamila amepokea changamoto mbalimbali zikiwemo za kutokamilika kwa Zahanati, Changamoto za Elimu, Miundombinu ya barabara, Maji, Umeme, Afya, migogoro mbalimbali ya Ardhi na changamoto za Kisheria ambazo amewataka watendaji kuhakikisha wanazishughulikia Mara moja.


Akijibu hoja ya kutokamilika kwa zahanati. Chalamila amemwagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungu Aron Kagurumujuli  kuwa ifikapo Ijumaa wiki ijayo  ahakikishe jumla ya shilingi Milioni 100 zinapelekwa kwa ajili ya  ujenzi wa zahanati katika kata hiyo ili ujenzi uweze kuanza na kukamilika.

Akijibu kuhusu changamoto ya barabara Chalamila amesema jumla ya barabara 3 zimeingizwa katika Mradi wa World bank na kati ya barabara hizo mojawapo ni ujenzi wa  barabara ya Saranga na  Ukombozi ambapo pamoja na mambo mengine amewaeleza wananchi kuwa Serikali inaendelea kujiridhisha katika mambo mbalimbali ya kifedha na kisheria ili ujenzi uanze ikiwemo fidia kwa wananchi ambao nyumba zao zitapitiwa na mradi huo wa barabara.

Katika hatua nyingine, Chalamila amesema Serikali imejenga tanki la maji linaloenda kusukuma maji  katika kata hiyo huku akiwataka wananchi kuwa na uvumilivu pale ambapo Serikali inapambana kutatua changamoto zinazowakabili.

Amesema mradi huo wa tanki la kusukuma maji Kibamba umejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 36.8 na tanki hilo linasaidia wakazi wa jimbo la Kibamba, Segerea, na wilaya ya Kinondoni kupata maji.

Katika ziara hiyo, Mh. Chalamila ameweke jiwe la msingi katika Mradi wa zahanati ya Mpiji Magohe unaojengwa  kwa gharama ya shilingi 615,000,000 mpaka kukamilika kwake na zahanati huku zahanati hiyo ikihudumia wananchi wapatao 108,466 ambapo ujenzi wake mpaka sasa umefikia asilimia 85.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa