• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

SAMAKI WA MAPAMBO NI FURSA

Posted on: August 4th, 2023

Rashid H Rashid ni kijana mjasiriliamali anaejishughulisha na uuzaji wa samaki wa mapambo na utengenezaji wa tanki za kuhifadhia samaki hao yajulikanayo kwa jina la “aquarium”

Rashid amepata fursa ya kushiriki maonesho ya nanenane yanayofanyika Mkoani Morogoro viwanja vya  J. K Nyerere ndani ya Banda la Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.

Akiwa ndani ya Banda hilo amefanikiwa kutueleza masuala mbalimbali yanayohusu samaki wa mapambo ambapo amesema kuwa samaki wanaotumika kwa ajili ya mapambo ni wale wa maji baridi yaani wanaopatikana kwenye mito na maziwa na sio wa baharini “maji chumvi”

Ameendelea kueleza soko la samaki hao ni kubwa na linazidi kuongezeka kwani tafiti zinaonesha kuwa mauzo ya samaki hao duniani kote kwa mwaka 2021 yalifika Dola Bilioni 5.4, mwaka 2022 yalifika Dola Bilioni 5.8 na hapo yaliathiriwa na uwepo wa korona na kwa mwaka 2030 yanatarajiwa kufikia zaidi ya Dola Bilioni 11.

Aidha, Rashid ametoa wito kwa jamii kubadilisha dhana ya kuwa samaki ni kwa ajili ya chakula tu kitu ambacho si kweli kwani kuna samaki wa mapambo ambao wanaweza kutumika kama mapambo majumbani, maofisini na hata kwenye kumbi mbalimbali pia wanasaidia kuondoa mawazo kwa namna wanavyoonekana wakiwa kwenye aquarium 

Sambamba na hayo Rashid amesema unaweza kutumia samaki hao kama fursa ya biashara kwani soko lipo lakini ijapokuwa sio maarufu na unaweza kuuza kwa watu mbalimbali na kwa sasa wanunuzi wengi wa samaki hao ni wazungu na wahindi.


Rashid anafuga na kuuza aina mbalimbali ya samaki wa mapambo akiwemo gold fish red cup, telescope, betta fish danio (zebra), mini pilot, guppy, Molly black and common, Molly gold and panda, guram, butterfly, paradise na wengine wengi wa aina hiyo na anayapata na elimu ya namna ya kuwatunza samaki hao.

Tembelea Banda la Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo uweze kujifunza bure  fursa za kilimo, mifugo na uvuvi pamoja na fursa za ujasiriamali kutoka kwa wajasiriamali wanapatikana ndani ya Banda hilo.

pichani ni samaki wa mapambo














ReplyForward






Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • CHALAMILA AZINDUA BIASHARA SAA 24 UBUNGO

    May 09, 2025
  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa