• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

SERIKALI YAZINDUA MADAWATI YA HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII KATIKA VITUO VYA USAFIRISHAJI.

Posted on: June 30th, 2025

Serikali kupitia wizara ya Maendeleo ya jamii, wanawake na makundi maalumu  Juni 30, 2025 imezindua Madawati ya Huduma za ustawi wa jamii katika vituo vya usafirishaji nchini pamoja na uzinduzi wa  kiongozi cha taratibu za utoaji wa huduma za kijamii kwa watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika katika kituo cha mabasi Magufuli, Waziri wa wizara ya Maendeleo ya jamii, wanawake na makundi maalumu Mh. Dorothy Gwajima alisema lengo ni kusaidia katika utoaji wa huduma katika vituo vya usafiri, kusaidia kubaini mapema viashiria vya hatari ikiwemo ukatili, usafirishaji haramu na utoroshwaji wa watoto ili kuwaokoa kabla hawajaingia mtaani.

Alisema, Uzinduzi wa dawati hilo katika kituo cha mabasi Magufuli unafanya kuwa na jumla ya idadi ya Madawati 14 ya huduma nchini yaliyopo katika vituo vya usafirishaji kwenye mikoa 11 ikiwemo mikoa ya Tabora, Mbeya, Dodoma,  Kagera, Arusha, Morogoro, Songea, Shinyanga (2), Njombe, Mwanza (2), na Dar es Salaam. 

Alisisitiza kuwa madawati hayo yanalenga kutoa huduma za ustawi wa jamii kwa makundi maalumu ikiwa ni pamoja na kuwaokoa watoto katika vituo vya usafiri na kuonyesha viashiria vya kutelekezwa, kufanyiwa ukatili, kuingia katika ajira za watoto na kuishia mtaani.

Aidha alisema, watoto wanaoishi na kutelekezwa mitaani ni suala linalohitaji nguvu za kila sekta na wadau wote wa umma, Serikali,  na sekta binafsi, wizara za kisekta,  taasisi za serikali,  mamlaka za mikoa na serikali za mitaa, madawati ya polisi ya Jinsia,  wadau mbalimbali, viongozi wa dini, wazee wa kimila, na jamii yote kwa ujumla.

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu wizara ya Maendeleo ya jamii,  jinsia na makundi maalumu Bw. Amon Anastaz Mpanju amewataka viongozi ngazi za Halmashauri kuhakikisha madawati yote ya kutolea huduma yanaimarishwa ili kuhakikisha kero na changamoto za watoto wa mitaani zinashughulikiwa kwa wakati na kupatikana kwa mrejesho haraka.





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE.MALIMA KATIKA BANDA LA UBUNGO MAONESHO NANENANE

    August 06, 2025
  • UBUNGO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI, ZAHANATI YA GOBA

    August 05, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAZINDULIWA

    August 04, 2025
  • USAFI WA MWISHO WA MWEZI WAFANYIKA MANZESE

    July 26, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa