• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

SUMA JKT CLEANING AND FUMIGATION WATOA VITI MWENDO 10 KWA AJILI YA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

Posted on: March 9th, 2024

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake duniani  tarehe 8 March,2024  wanawake kutoka  Kampuni ya SUMA JKT Cleaning na Fumigation  wamekabidhi viti mwendo 10 vya watu wenye ulemavu wa Viungo ambavyo kati ya hivyo viti vinne ni vya miguu mitatu na Viti sita ni vya miguu miwili

Akikabidhi Viti mwendo hivyo Mkurugenzi Mwendeshaji wa kampuni ya SUMA JKT CLEANING AND FUMIGATION kaptain Rosemary David Katani amesema kuwa lengo ni kujumuika kwa pamoja katika siku ya Leo ya wanawake na  kusaidia watu wenye ulemavu na wao waweze kupata Viti hivi kwaajili ya wao kusaidia katika majukumu yao ya kila siku za kiuchumi na kijamii ambapo kati ya hivyo wamekabidhi VITI 10 kati ya hivyo vya matairi matatu 4 na matairi mawili 6

Akipokea Viti mwendo hivyo Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Hashim Komba amewashukuru na kuwapongeza wakina mama hao wa SUMA JKT kwa kuwawezesha walemavu wa viungo kwa kuwapatia Viti mwendo vitakavyosaidia katika majukumu yao ya kila siku 

"Niwapongeze wanawake kwa siku hii ya Leo ambayo inawalenga wanawake wote kusherekea siku yao, SUMA Jkt wameonyesha jinsi gani mwanamke ni mtu mwenye huruma na upendo" alisema hayo Komba

SUMA JKT mmegusa maisha ya watu wenye ulemavu, mmegusa maisha ya watu wenye huitaji niwapongeze sana na mwenyezi Mungu awaongezee mlipotoa.alisema hayo Komba

Nae Afisa Ustawi Manispaa ya Ubungo Zainab Masilamba amewashukuru SUMA JKT kwa kuwawezesha wahitaji waliopo Manispaa ya Ubungo nakuwaomba kuendelea na moyo huo huo wakuja kuwatembelea wanaubungo

Akishukuru mmoja wa wanufaika waliopata Viti mwendo Bi.Rebecca  ameshukuru SUMA JKT Cleaning and Fumigation kwa kuwawezesha kupata Viti hivyo vitakavyotumika kuwasaidia  kwenye shughuli za kiuchumi na shughuli za kila siku














Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa