• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TAASISI KUTOKA KOREA KUSINI YATEMBELEA UBUNGO

Posted on: November 7th, 2023

Taasisi ya Geris ya Korea Kusini leo tarehe 07/11/2023 imeitembelea Shule ya Msingi Tegata A iliyopo Kata ya Goba ndani ya Manispaa ya Ubungo kwa lengo la kujionea maendeleo ya Shule hiyo kitehama kutokana na msaada ilioutoa hapo awali wa vifaa vya TEHAMA pamoja na kusafirisha walimu wa Shule hiyo Nchini Korea Kusini kwa ajili ya kujifunza masuala ya TEHAMA.

Sambamba na lengo hilo ugeni huo umelenga kubadilishana uzoefu baina ya walimu na wanafunzi wa Taasisi hiyo huku michezo mbalimbali ilichezwa na wanafunzi hao ikiwemo kurusha roketi, kuimba na kucheza ngoma za asili kwa wageni hao katika hafla ndogo iliyoandaliwa na Manispaa hiyo ya kupokea wageni hao.

Taasisi hiyo yenye mradi wa KLIC “Korea Learning International Cooperation” inayojishughulisha na ufundishaji wa masuala ya TEHAMA sambamba na kugawa vifaa vya TEHAMA Duniani huku ikisimamiwa na Serikali ya Nchi ya Korea Kusini imeambatana na Gavana wa Jimbo la Guangzhou Nchini humo Ndg. Lee Jeong Seon pamoja na baadhi ya wanafunzi na walimu wa TEHAMA wa Taasisi hiyo.


Kutembelewa huko kumetokana na Msaada wa kupatiwa Vifaa mbalimbali vya TEHAMA ambavyo hapo awali Shule hiyo ilikabidhiwa na taasisi hiyo sambamba na kusafirishwa kwa walimu 6 wa TEHAMA wa Shule hiyo Nchini Korea kwa lengo la kwenda kujifunza masuala ya TEHAMA.


Akiongea katika hafla ndogo iliyofanyika katika Shule hiyo ya kupokea wageni hao Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Denis Nyoni ametoa shukrani kwa Taasisi hiyo kwa kuchagua Manispaa hiyo kwa ajili ya msaadaa huo ambao utachochea ari ya ujifunzaji na ufundishaji wa masuala ya TEHAMA kwa wanafunzi.


“Tukiwa katika suala la ukuaji wa teknolojia vifaa mlivyotupatia kwa kiasi kikubwa vimekuwa ni msaada mkubwa wa kuwezesha wanafunzi kujifunza masuala ya TEHAMA kwa vitendo na kuongeza uelewa kwa wanafunzi hao”


Aidha, Nyoni ametoa wito kwa Taasisi zingine kuendelea kutoa misaada ya namna hiyo katika Shule mbalimbali za Manispaa hiyo ili kuwezesha wanafunzi kuendana na kasi ya teknolojia kwa maslahi yao na Taifa kwa ujumla.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA BILIONI 8.2 UBUNGO YAPITA KWA KISHINDO MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    June 05, 2025
  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa