- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Mapema Leo tarehe 06/07/2022 Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg. Beatrice Dominic amekutana na viongozi wa wamiliki wa mabasi (TABOA) wa Kituo cha Mabasi cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) lengo ikiwa ni kuweka mikakati ya pamoja na kudhibiti uwepo wa ofisi za kukatia tiketi nje ya kituo hicho.
Aidha, kikao hicho kimeazimia Viongozi wa TABOA wapeleke kwa Meneja wa Kituo hicho orodha ya majina na picha za wafanyakazi wao zikiwemo na za mawakala wao. Ili Manispaa iwatengenezee vitambulisha maalumu vitakavyo watambulisha ili kusaidia kutatua changamoto zilizopo.

