• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHIMINI KUTOKA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA OFISI ZA UTAWALA MANISPAA YA UBUNGO

Posted on: September 8th, 2020

Tarehe 8/9/2020 Mkurugenzi wa  Manispaa ya Ubungo *Beatrice Domic* amepokea ugeni wa Timu ya tathimini na ufuatiliaji kutoka Wizara ya Fedha na Mipango kwaajili ya kutembelea ujenzi wa jengo la Utawala la Ofisi za Manispaa ya Ubungo  lililopo Luguruni.

Aidha Mkurugenzi alitoa ufafanuzi wa mradi ulipofikia  na alisema kuwa kasi ya ujenzi wa  mradi  ni ndogo na kupelekea kuchelewa kukamilika  kulingana na muda uliotolewa  na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam *Mhe.Aboubakar Kunenge* alipotembelea mradi huo na kutoa wiki sita kwa Mkandarasi wa TBA kuhakikisha mradi umekamilika.

"Mpaka sasa imebaki wiki moja na mradi bado haujakamilika na wafanyakazi hawapo site" Aliongeza Mkurugenzi

Pia Mkurugenzi alisema kuwa tumekazana baadhi ya vitu vimalizike kwa  kutumia force account ili sehemu ya chini ya jengo hili iweze kukamilika kwa  haraka kwaajili ya shughuli za  uchaguzi mkuu ziweze kufanyika.

Sambamba na hayo Wakaguzi walimshauri mwanasheria wa manispaa kumwandikia barua ya onyo wakala wa majengo (TBA) ili aweze kuongeza kasi ya kuendeleza mradi huo"

Wakati wakiendelea na ukaguzi katika sehemu mbalimbali za jengo hilo Wakaguzi walishangazwa na idadi ndogo ya vibarua ambao wapo kwenye mradi. 

NB.Timu ya Ufuatiliaji na  tathimini inatembelea Miradi ya Kimkakati  iliyopo katika Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Manispaa ya Ubungo imeanza na ujenzi  wa jengo la Utawala na kumalizia na ujenzi wa Soko la Mburahati kesho kutwa tarehe 10/9/2020


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa