• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA MIRADI MBALIMBALI YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 21st, 2025

Timu ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Miradi ya Maendeleo ya Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, ikiongozwa na Afisa Mwandamizi wa Ufuatiliaji na Tathmini, Bw. George Maiga,  August 21,2025  imefanya ziara ya kikazi katika miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya manispaa, kwa lengo la kujiridhisha na kasi pamoja na ubora wa utekelezaji wake.

Ziara hiyo ilianza katika vituo vya kutolea huduma za afya, ikiwemo Kituo cha Afya Amani, Kituo cha Afya Mpiji Magohe, pamoja na Zahanati ya Msakuzi. Katika vituo hivyo, timu ilikagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya upasuaji, wodi za akinamama pamoja na ofisi za watumishi wa afya. 

Kwa mujibu wa taarifa ya mafanikio iliyowasilishwa na wasimamizi wa miradi hiyo, kazi zipo katika hatua za mwisho za ujenzi.

Akizungumza baada ya kukagua miradi hiyo, Bw. Maiga aliwapongeza wakandarasi kwa kasi ya utekelezaji, huku akisisitiza umuhimu wa kuzingatia viwango vya ubora vinavyotakiwa na serikali. 

Alisema, "Hii ni miradi inayogusa maisha ya watu moja kwa moja, hivyo tunahitaji kuona thamani ya fedha za umma kwa kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa ubora wa hali ya juu."

Naye Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Mpiji Magohe, Dkt. Hereswida Rimoy, alisema mradi huo ni wa muhimu mno kwa ustawi wa huduma za afya, hususan kwa akinamama na watoto.

 “Mradi huu utaleta mapinduzi makubwa katika utoaji wa huduma. Tunaishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kutujali sisi wananchi kupitia uwekezaji huu muhimu,” alisema Dkt. Rimoy.

Katika hatua nyingine ya ziara hiyo, timu ilitembelea shule mbalimbali zikiwemo Shule ya Sekondari Luguruni, Shule ya Msingi Idrisa Abdul Wakil, Shule ya Msingi na Sekondari Kulangwa, pamoja na Shule ya Msingi Kibamba. 

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa madarasa, bweni moja la wanafunzi wenye mahitaji maalum, na ukuta wa shule kwa ajili ya usalama wa mazingira ya wanafunzi.

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kibamba, Mwl. Juliano Pima, alieleza kuwa kukamilika kwa bweni hilo kutakuwa mkombozi mkubwa kwa wanafunzi wenye ulemavu wanaotoka mbali.





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIAKA MINNE YA MAFANIKIO: UTELEKELEZA WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    September 02, 2025
  • MIKOPO YA HALMASHAURI YACHOCHEA MAFANIKIO YA WAJASIRIAMALI

    September 30, 2025
  • UBUNGO YAAHIDI KUJIPANGA IMARA ZAIDI KWA MSIMU UJAO WA SHIMISEMITA | YAPOTEZA MBELE YA DODOMA JIJI

    August 29, 2025
  • WANANCHI MSIGANI WAANZA KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA KILIMO MJINI.

    August 29, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa