• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TIMU YA UKAGUZI NA UFUATILIAJI WA MIRADI YAINGIA SITE ,YAPONGEZA NA KUAGIZA KASI IONGEZEKE UTEKELEZAJI WA MIRADI

Posted on: July 21st, 2025

Timu ya wataalam ya ufuatiliaji na ukaguzi wa miradi  Manispaa ya Ubungo imefanya ziara ya kutembelea miradi ya elimu, afya na barabara inayotekelezwa kwa kutumia Fedha za mapato ya ndani na mfuko wa Jimbo kwa lengo la kujionea hatua za miradi hiyo  ilipofikia

Timu hiyo imefanya ziara  tarehe 21 julai, 2025 na imetembelea Mradi wa ujenzi wa madarasa 2 katika Shule ya msingi millennium ya tatu iliyopo kata ya Kimara yaliyojengwa kwa gharama ya shilingi milioni 44 na matundu 6 ya vyoo uliogharimu  kiasi cha shilingi milioni 10 na laki nane na kutoa maelekezo mhandisi afike Shuleni hapo kwa ajili ya kufanya tathmini ya vitu vilivyobakia ili ujenzi uendelee katika matundu ya vyoo ambayo yamebaki vitu vichache kukamilika ili vianze kutumika

Wataalam wametembelea Shule ya Sekondari Kimara kuangalia  ujenzi wa chumba cha kompyuta kilichogharimu milioni 8, eneo lilolipwa fidia na fidia ishalipwa kiasi cha shilingi milioni 10, ukarabati wa barabara ya mtaa wa mavurunza eneo la millennium ya tatu shina namba 7 katika kata ya Saranga kiasi cha shilingi 2,000,000.00 na kupongeza utekelezaji uliofanyika kwa kuhakikisha muhusika aliyestahili kulipwa fidia kapata fidia na barabara inatumika

Aidha, wataalam wametembelea Shule ya msingi Msewe kujionea ununuzi wa madawati 150 ikiwa ni Fedha za  mfuko wa Jimbo  na mapato ya ndani madawati 100

Na pia timu imetembelea Shule ya msingi mashujaa, kituo cha afya Makurumla, hospitali ya Wilaya iliyopo Kimara Baruti, pamoja na ukarabati wa madarasa Shule ya msingi Ubungo NHC.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WAKUBORA NGAZI YA SHULE WANOLEWA KUTUMIA MFUMO WA KIDIJITI WA UTHIBITI UBORA WA SHULE.

    July 22, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI NA UFUATILIAJI WA MIRADI YAINGIA SITE ,YAPONGEZA NA KUAGIZA KASI IONGEZEKE UTEKELEZAJI WA MIRADI

    July 21, 2025
  • WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII 30 WAJENGEWA UWEZO

    July 14, 2025
  • MAKABURI 29 YA UFI UBUNGO KISIWANI YAHAMISHWA KUPISHA UPANUZI WA BARABARA.

    July 10, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa