• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TUME YQ MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA YAFIKA UBUNGO

Posted on: December 2nd, 2022


Kuelekea kilele cha maazimisho ya siku ya maadili duniani ambayo kilele chake hufanyika tarehe 10 Disemba Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kanda ya Dar es Salaam imefanya mafunzo kwa viongozi na wataalamu wa Manispaa ya Ubungo lengo ikiwa ni kuendelea kuwakumbusha namna ya kuenenda kwenye utekelezaji wa majukumu yao kwa maslahi ya wananchi.

Katika mafunzo hayo yaliyotolewa na Sekretarieti hiyo kwa kushirikiana na ofisi ya tume ya haki za binadamu na Utawala bora, na TAKUKURU viongozi na wataalamu hao wamefanikiwa kujifunza mada mbalimbali ikiwemo kujua misingi ya maadili kwa viongozi na watumishi wa Umma, namna watumishi wanapaswa kuenenda na kuelezewa miiko ya watumishi wa Umma.

Akiongea katika mafunzo hayo Ndg. Elizabeth Komba Katibu Msaidizi Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma amesema maazimisho hayo yanaenda sambamba na kauli mbiu isemeyo “maadili, haki za binadamu utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa ni jukumu letu sote”na yataazimishwa kwa siku 10 kuanzia tarehe 01-10 Disemba, 2022 na siku ya kilele kitaifa yataazimishwa Dodoma.

Aidha, Elizabeth ameendelea kueleza kuwa maazimisho hayo yataazimishwa kwa kufanya vipindi kwenye media mbalimbali, kuongea na viongozi na wataalamu wa Halmashauri kwa ajili ya kutoa elimu ya masuala ya maadili kwani swala la maadili lisipozingatiwa linaweza kupelekea mambo mengi maovu ikiwemo wizi, ukatili wa kijinsia na utekelezaji mbaya wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Elizabeth ametoa wito kwa viongozi na wataalamu hao juu ya kuzingatia misingi mbalimbali ya maadili ikiwemo uaminifu, kuepuka kupokea kuomba na kutoa zawadi kinyume na utaratibu, kutopendelea, kujizuia na tamaa na uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu ili kuwa na jamii salama.

“Maadili yanawezeshwa kwa kuhamasishwa kwa matendo kwa  kuanzia kwa mtu mmoja na jamii kwa ujumla”

Nae Ndg. Aristarico Majura Afisa uchunguzi mwandamizi Tume ya haki za binadamu na utawala bora amesema kazi kuu ya tume hiyo ni kuhakikisha haki inatendeka.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa