- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Aidha, Elizabeth ameendelea kueleza kuwa maazimisho hayo yataazimishwa kwa kufanya vipindi kwenye media mbalimbali, kuongea na viongozi na wataalamu wa Halmashauri kwa ajili ya kutoa elimu ya masuala ya maadili kwani swala la maadili lisipozingatiwa linaweza kupelekea mambo mengi maovu ikiwemo wizi, ukatili wa kijinsia na utekelezaji mbaya wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
Nae Ndg. Aristarico Majura Afisa uchunguzi mwandamizi Tume ya haki za binadamu na utawala bora amesema kazi kuu ya tume hiyo ni kuhakikisha haki inatendeka.

