• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

TUWEKEZE KWENYE UPENDO KUTOKOMEZA UKATILI

Posted on: March 20th, 2024

"Mpaka sasa Manispaa ya ubungo tumetoa elimu ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia katika shule za msingi 20, na shule za sekondari 19. Yote hii ni jitihada ya kuhamasisha jamii kuwekeza katika upendo na kuendelea kutoa elimu kwa jamii nzima ili tutokomeze tatizo hili ili kutengeneza jamii bora na salama"

Hayo yamesemwa na mratibu wa dawati la jinsia Manispaa ya Ubungo Ndg. Hilda Malosha alipokua akifungua kikao kazi cha masuala ya ukatili wa kijinsia mapema leo Machi 20, 2024 katika ukumbi wa Manispaa ya Ubungo ambapo kikao hicho kimehudhuriwa na wadau mbalimbali ikiwemo madiwani wanawake wa Manispaa ya Ubungo, dawati la jinsia kutoka jeshi la polisi, maafisa maendeleo, maafisa ustawi wa jamii pamoja na asasi za kiraia

Kikao kazi hicho kimekuja mahususi kwaajili ya kushirikiana kwa pamoja kujadili suala hilo la ukatili wa kijinsia pamoja na kuweka mikakati zaidi ya ni njia zipi za kutumika ili kukabiliana na vitendo vyote vya ukatili wa kijinsia katika jamii zetu ili kutengeneza jamii bora na taifa imara

Awali akichangia mada Joyce Mapunda kutoka dawati la jinsia kutoka mkoa wa kipolisi Kimara, ameeleza namna ambavyo tatizo hilo linaendelea kukua kwa kasi katika jamii zetu ambapo vitendo vya watoto wa kike na wanawake kufanyiwa vitendo vya kunyanyaswa ikiwemo kupigwa, au kufanyiwa vitendo vya mapenzi kinyume na maumbile pamoja na tatizo la watoto wa kiume kulawitiwa na watu mbalimbali ikiwemo watu wao wa karibu kama wazazi na walezi

Nae diwani wa viti maalumu Manispaa ya Ubungo Mhe. Mary Mwamfupe amesema kuwa suala la ukatili katika jamii zetu linakua kwa kasi sana na ufumbuzi wake bado ni kitendawili. Ametoa rai kwa wadau, maafisa maendeleo na maafisa ustawi kushuka chini kwenye jamii kupitia vikundi vya vikoba na vikundi vingine kupeleka elimu juu ya kuliokoa taifa dhidi ya vitendo hivyo


Akiwakilisha asasi za kiraia Bi. Joyce Augustino kutoka asasi ya Women and Youth Initiative (WYI) ameeleza kuwa katika jamii tatizo la ukatili wa kijinsia linaathiri zaidi wanawake hivyo amewaomba wadau kuunganisha nguvu kukabiliana na tatizo hilo pamoja na kuhamasisha wananchi kutoa taarifa za ukatili wa kijinsia unaotokea katika jamii zao kuanzia ngazi ya familia





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa