• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO, KISARAWE WAKUTANA KING’AZI KUTATUA MGOGORO

Posted on: September 9th, 2023

Kufuatia mgogoro wa mpaka katika Mtaa wa King’azi A kata ya Kwembe, Wakuu wa Wilaya za Ubungo na Kisarawe wameunda timu maalumu inayojumuisha wataalam na wananchi wa pande zote mbili kwa ajili ya kupata uelewa wa pamoja kuhusu mipaka ya eneo hilo ambalo limekuwa na migogoro mingi ya ardhi kwa kisingizio cha mipaka ya eneo hilo.

Uundaji wa timu hiyo ni moja ya maazimio yaliyotolewa na wakuu hao wa wilaya septemba 9, 2023 kwenye mkutano wa wananchi wa mtaa huo ukilenga kusikiliza maoni ya wananchi juu ya mgogoro wa mipaka uliopo katika mtaa huo ambapo wanachi hawaelewi kama wanahudumiwa na ipi kati ya Ubungo na Kisarawe ili kuondoa mikanganyiko iliyopo sasa.

Akiongea wakati wa mkutano huo, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Hashimu Abdallah Komba amewaeleza wananchi kuwa timu hiyo itajumuisha wataalamu na wananchi 8 kutoka pande zote mbili lengo ikiwa ni kujiridhisha na kupata uelewa wa pamoja kuhusu mipaka ya mtaa huo kwa mujibu wa tangazo la Serikali (GN) ya awali ya mwaka 1974 na marekebisho GN ya mwaka 2019 ili kuondoa utata uliopo sasa lakini pia wananchi kujua wanahudumia na mamlaka ya utawala wa Wilaya ipi.

“Hii timu itafanya kazi kwa muda wa wiki tatu na baada ya hapo utaitishwa mkutano wa wananchi kwa ajili ya kupata mrejesho na kutoa maamuzi kuhusu mipaka ya eneo na hivyo tunaamini mgogoro huu tutakuwa tumeumaliza na wananchi mtaendelea kufurahia maisha kwa kufanya shughuli zenu za maendeleo kwa uhuru na Amani” alieleza Mhe. Komba.

Pamoja na kuunda timu hiyo maalumu, Mhe. Komba amewataka wananchi washikamane na kushirikiana  kwani wao ni wamoja badala ya kutenganishwa na migogoro ya mipaka kwani inaweza kubadilishwa wakati wowote kulingana na ongezeko la watu, hivyo tusigombane kwa ushawishi wa watu wachache wenye maslahi yao binafsi

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Fatma Almasi Nyangasa aliwaeleza wananchi kuwa katika kipindi hiki cha Mtaa wa king’azi wenye mgogoro utahudumiwa na wenyeviti wawili wa king’azi na Kisopwa mpaka pale mgogoro utakapotatuliwa, aidha amewaonya wenyeviti hao kutojihusisha na uuzaji wa ardhi kwani hicho ndio chanzo kikubwa cha mgogoro huo uliopo sasa.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa