• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAADHIMISHA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANZANIA

Posted on: April 22nd, 2024

Tukielekea katika maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanzania tarehe 26/4/2024 Ubungo imefanya kongamano la kuliombea taifa katika ukumbi wa Noble hall uliopo Kimara tarehe 22 April,2024

Maadhimisho hayo yameenda sambamba na kauli mbiu isemayo, "Miaka 60 ya Jamuhuli ya Muungano wa Tanzania,Tumeshikamana na  Tumeimarika, kwa maendeleo ya Taifa letu.

Akifungua kongamano hilo Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo ambaye pia ni Katibu Tawala Wilaya hiyo Hassan Mkwawa amesema kuwa, vijana wanajukumu la kuenzi Muungano kwa kuhakikisha wanafata yote ambavyo wazee wetu waliyafanya

Aliendelea kueleza kuwa,toka waasisi wetu walivyosimamia Muungano huu ambao taifa linaenda kusherekea siku hiyo ifikapo tarehe 26/4/2024 ambayo ni siku muhimu ni jukumu la Kila mtanzania kuulinda na kuuenzi Muungano.

Aidha, akitoa historia fupi toka Muungano ulivyofanyika na mpaka Sasa ambapo taifa linaenzi Muungano huo  luteni kanali mstaafu Ali Shamte amesema kuwa, watanzania tunapaswa kujivunia Muungano wetu na kuulinda na tunapaswa kushikana kwa pamoja kudumisha Muungano huu

Wazee waliokuwepo kipindi Cha muungano  wanaelewa faida zake na moja nikuleta umoja,mshikamano na pia ulinzi.alisema Shamte

Nae, kanali mstaafu Massanja Sunday ambaye ni msemaji Taasisi ya kizalendo Tanzania (TPO) amesema kuwa, Muungano unapaswa kuendelea kulindwa, tunapaswa kujivunia Muungano huu ambao sasaivi watu wote tunaweza kukutana na kukaa pamoja na kila mmoja akawa na amani

Wazanzibar wanakaa bara na sisi tunaenda zanzibar na kila mmoja ana amani katika eneo la mwenzie, amani imetawala baina yetu

"Asitokee mtu akatamani kuuvunja Muungano wetu" amesisitiza

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa