• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAADHIMISHA SIKU YA ELIMU, PONGEZI KWA WANAFUNZI NA WALIMU WALIOFANYA VIZURI

Posted on: March 27th, 2024

 Tarehe 27 March,2024 Manispaa ya Ubungo kupitia Idara ya elimu Sekondari imeadhimisha siku ya elimu kwa kuwapa tuzo za pongezi kwa walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitihani ya kidato cha pili na cha nne iliyofanyika mwezi novemba, 2023.

Akifungua hafla hiyo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko amepongeza wadau walioshiriki katika uandaaji wa siku hiyo muhimu kwa kutambua mchango wa elimu kwa Wilaya ya Ubungo ambao ni Vodacom na Crdb

Bomboko aliendelea na kusema kuwa, katika kuhakikisha ufaulu unaongezeka ni lazima ntakaa kikao na walimu wakuu wa Shule zote  lengo likiwa ni kuhakikisha ufaulu wa wanafunzi unaongezeka kwa Wilaya ya Ubungo.

"Ni lazima ufaulu uongezeke na hii ni moja ya Kipaumbele Changu" amesisitiza Bomboko

Aidha, Kaimu Mkurugenzi Ndg.Vosta Mgina ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Manispaa ya Ubungo amesema kuwa katika kuhakikisha jitihada zinafanyika kukuza swala la elimu kwa Manispaa ya Ubungo imewekwa mikakati na moja wapo ni kuwapa motisha wanafunzi wanaofanya vizuri  pamoja na walimu 

Mgina aliendelea kwa kueleza kuwa ,wadau walioshiriki Leo ni wadau ambao wamekuwa  wakitumiwa sana hasa katika mabonanza mbalimbali na Halmashauri ina ahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa wadau hao.

Pia Mgina amemshukuru Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kujenga Shule nyingi ambazo zinaendelea kutatua changamoto ya uhaba wa Shule kwa Wilaya ya Ubungo na kwa Sasa Ubungo inajivunia Shule kubwa Maalumu ya  wasichana kwa Mkoa wa Dar es salaam iliyopo Kwembe katika Mtaa wa Njeteni.

"Tunaendelea kuboresha Mazingira mazuri ya maslahi ya walimu na tuna ahidi kusimamia jambo hili kwa ufanisi mkubwa" alisema hayo Mgina 

Akisoma taarifa ya ufaulu kwa wanafunzi wa kidato Cha pili kwa mwaka 2023 Afisa elimu taaluma Manispaa ya Ubungo Exaveria Mlowe amesema kuwa kwa kidato Cha pili kwa mwaka 2023  jumla ya wanafunzi 9935 kati ya wanafunzi 11,022 kwenye matokeo ya upimaji wamepata ujuzi wa maarifa kuendelea na kidato Cha tatu ambapo wasichana ni 5049 na wavulana ni 4886.






































Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa