• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

Posted on: March 8th, 2023

Kuelekea kilele Cha Maadhimisho ya Siku ya wanawake Duniani tarehe 8 machi, 2023 Wilaya ya Ubungo imeadhimisha siku hiyo leo tarehe 3 machi, 2023 katika viwanja vya Manispaa ya Ubungo vilivyopo Luguruni Kibamba, maadhimisho yaliyoenda sambamba na kauli mbiu ya UBUNIFU NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA, CHACHU KATIKA KULETA USAWA WA KIJINSIA 

Katika hafla hiyo ambayo mgeni rasmi ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashimu Komba akiambatana na viongozi wa Manispaa hiyo wametembelea mabanda mbalimbali ya vikundi vya wakina mama vinavyofanya uzalishaji wa bidhaa 

Akiongea katika maadhimisho hayo Komba amesema kuwa Natambua na kuthamini nafasi ya mwanamke katika jamii 

Aidha Komba aliendelea kwa kusema kuwa leo tarehe 3 ni siku ya maadhimisho ya Siku ya wanawake Kiwilaya na kazi kubwa katika siku hii ni kutambua mchango wa mwanamke katika jamii hasa katika ulezi wa familia


"Mwanamke ni mama na ni mlezi katika familia" alisema hayo Komba 


"Wanawake ni viongozi na  niwachapakazi" alipongeza Komba 


Mwanamke ni shupavu anayeweza kukusanya mapato vizuri na mwaka huu billion 32 zinakusanywa na mama Shupavu Beatrice Dominic Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo

Rais wetu wa awamu ya Sita ni mwanamke hii inaonyesha ni jinsi gani wanawake ni jeshi kubwa na wanaweza, nchi yetu sasa ina kiongozi mwanamama na anaiongoza nchi vyema

"Wanawake pendaneni" hii ni rai yangu kwenu wanawake wote, ubunifu wenu wanamama ni jambo muhimu

Wakina mama mkatoe elimu kwa watoto wetu majumbani kwa kuwaelimisha kuhusina na mambo machafu ambayo sasa yanapamba moto tutoe mwanga kwa watoto wetu wajue mambo haya ni mabaya

Aidha Komba ameipongeza idara ya maendeleo ya jamii ambayo ndo imeendaa maadhimisho hayo kwa kuendelea kusimamia utoaji wa mikopo ambayo haina riba ambapo kuanzia mwaka wa fedha 2017/2018 hadi Juni 2021/2022 vikundi 747 vya wanawake vimeshapewa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni 3.8 kwaajili ya kufanya shughuli mbalimbali za uchumi ikiwemo ufugaji, Kilimo, viwanda vidogovidogo, Mama lishe na biashara ndogondogo

Das Ubungo akiwa katika maadhimisho ya siku ya wanawake 

Mkurugenzi Manispaa ya Ubungo  Beatrice Dominic akiwa katika maadhimisho ya siku ya wanawake


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

    March 01, 2023
  • UBUNGO YATIA FORA KAMPENI YA SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM, RC MAKALLA AIPONGEZA

    February 25, 2023
  • BODI YA AFYA YAPITIA TAARIFA YA UTENDAJI ROBO YA PILI

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU ALICHOKISEMA DC KOMBA KWENYE ZIARA LEO | AIAGIZA TAKUKURU KUFANYA UCHUNGUZI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa