• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAFANYA MAFUNZO KWA VIKUNDI BAADA YA KUPATA MKOPO.

Posted on: March 5th, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imeandaa Mafunzo elekezi yaliyofanyika  Marchi 5, 2025. Ikiwa na lengo la kuvikumbusha vikundi namna bora ya kusimamia biashara zao sambamba na hilo kufanya majeresho kwa wakati.

Vikundi vya wanawake ambavyo vimekidhi vigezo vya kupatiwa mikopo itokanayo na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya manispaa ya Ubungo, vimepatiwa mafunzo elekezi ya siku moja ya namna bora ya kuendesha miradi yao ikiwemo utunzaji wa fedha, nyaraka na kufanya marejesho kwa wakati. 

Katika upembuzi wa maombi hayo jumla ya vikundi 90 vikiwemo vya wanawake 59, vijana 30, na kikundi 1 cha watu wenye ulemavu vimekidhi vigezo kati ya vikundi 209 ambavyo viliomba mkopo huo ambavyo vitapewa jumla ya sh.2,041,123,500/=

Akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Albina Mtumbuka amesema kuwa Mikopo hiyo isiyo na riba inatolewa kwa mujibu wa sheria ambapo wanawake (4%), vijana (4%) na watu wenye ulemavu (2%) inakusudia kuwakwamua makundi hayo  ambayo hayana ajira rasmi kwa kuimarisha shughuli  za kiuchumi na kuboresha maisha yao kwa ujumla. Mafunzo hayo yawasaidie kutekeleza vyema Miradi yenu, ili muweze kufanya marejesho vizuri, na hivyo kuwezesha vikundi vingine kukopeshwa. 

‘Serikali ya Awamu sita lengo lake kubwa ni kuwainua Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemevu kiuchumi, Hivyo ni vyema vikundi vikafanya majeresho kwa wakati kwani fedha hizo ndizo zitakazo saidia kukopesha vikundi vingine.’

Aidha Afisa kutoka Takukuru Bi. Magdalena Sengasenga amewakuwakumbusha kufanya majeresho kwa wakati kwani mfumo wa sasa wa ufuatiliaji mikopo hii umeongezwa wigo na umekuwa wa wazi hivyo kila kikundi kiwajibike kurejesha fedha hizo kwa wakati.

"Awamu hii mpya ya mikopo imeboreshwa kwa maana ya usimamizi na ufuatiliaji, sitegemei kikundi kushindwa kurejesha kwasababu mmefanyiwa ukaguzi wa kina kuhusu miradi yenu" kutokufanya ivo ni kuvunja sheria na sisi kama Takukuru tumepewa dhamana ya kufuatilia mchakato huo hatua kwa hatua na kuhakikisha vikundi vinavyostahili vinufaike na mikopo hiyo na vinafanya marejesho kwa wakati. 


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa