• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UBUNGO YAKIMKAKATI

Posted on: September 7th, 2022


Leo tarehe 07/09/2022 Manispaa ya Ubungo imefanya kikao kazi kilichojumuisha Watendaji Kata na Mitaa, Maafisa Afya na timu ya wataalamu ya Manispaa hiyo lengo ikiwa ni kuweka mikakati ya ukusanyaji wa mapato ndani ya mwaka wa fedha 2022/2023.


Akiongea katika kikao hicho Mhe Mstahiki Meya wa Manispaa hiyo ameeleza kuwa watendaji wa Kata na Mitaa wana jukum kubwa la kuiwezesha Manispaa katika kufanikisha zoezi la ukusanyaji wa mapato kwani wanaostahili kuchangia mapato hayo ni wananchi ambao wapo katika mitaa yao.


Aidha Nyaigesha ameendelea kuwasisitiza Viongozi hao kuhakikisha kuwa wafanya biashara wote na wananchi kwa ujumla wanalipa kodi, tozo, ushuru na ada mbalimbali za Halmashauri ili kuweza kuisaidia Manispaa hiyo kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Dkt. Peter Nsanya ameeleza kuwa katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 Manispaa ya Ubungo imekasimiwa kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 32 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali.

Nsanya amewataka watendaji hao kujua vyanzo wanavyopaswa kukusanya na kuvisimamia ipaswavyo ikiwa ni pamoja na kuweka “target” za mapato wanayopaswa kukusanya ndani ya mwaka wa fedha wa 2022/2023.


Nae Afisa Biashara wa Manispaa hiyo Bi Mary Mwakyosi ameainisha vyanzo vya mapato vya Manispaa hiyo ikiwemo leseni za biashara na za vileo, ushuru wa huduma, vibali vya ujenzi na vya sherehe, Ada za taka ngumu na za ulinzi shirikishi, faini za kuvunja sheria na vinginevyo.


Kikao hicho kimeweka mikakati mbalimbali ikiwemo kuendelea kujenga uwezo kwa Watendaji wa Kata na Mitaa juu ya ukusanyaji wa mapato, kuwepo kwa Afisa biashara kwenye kila Kata, kutoa motisha kwa Mtendaji atakaefanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato.


Manispaa ya Ubungo hiyo katika mwaka wa fedha uliopita wa 2021/2022 Manispaa hiyo ilikasiniwa kukusanya shilingi Bilioni 23 lakini ilifanikiwa kukusanya shilingi Bilioni 27 Sawa na asilimia 118%.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa