- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Kwa sasa idara ya afya inajipanga kutekeleza mkataba wa lishe kwa awamu ya pili uliosainiwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan mwezi Oktoba, 2022
Nae Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe. Jaffary Nyaigesha ameipongeza idara ya Afya kwa mipango kazi yote wanayoitekeleza na pia ametoa rai kwa wananchi wa Manispaa ya Ubungo kutoa ushirikiano kwenye zoezi la chanjo ya polio pindi litakapoanza

