- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Halmashauri ya Wilaya leo Jan 28, 2022, imetoa mkopo usio na riba wenye thamani ya Tsh bilioni 1.1 kwa vikundi 133 vya wajasiriamali vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ikiwa ni utekelezaji wa sera ya uwezeshaji wananchi kiuchumi kwa kutenga asilimia 10 za mapato yake ya ndani.

