- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Manispaa ya Ubungo Leo 08/09/2022 imefanya kikao cha kujadili suala la uchimbaji holela wa mchanga kilichojumuisha wataalamu toka Bonde la Wami/Ruvu, NEMC, Afisa Mazingira, Waheshimiwa Madiwani, Wenyeviti na Watendaji wa Kata na Mitaa Manispaa ya Ubungo lengo ikiwa ni kudhibiti uharibifu wa mazingira.
Aidha, James amesema kuanzia ngazi ya Halmashauri, NEMC, Bonde Wami, Viongozi wa Kata na Mitaa kila mmoja anawajibu wa kufanya juu ya udhibiti wa mazingira.

