• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UHARIBIFU WA MAZINGIRA UBUNGO SASA BASI

Posted on: September 8th, 2022


Manispaa ya Ubungo Leo 08/09/2022 imefanya kikao cha kujadili suala la uchimbaji holela wa mchanga kilichojumuisha wataalamu toka Bonde la Wami/Ruvu, NEMC, Afisa Mazingira, Waheshimiwa Madiwani, Wenyeviti na Watendaji wa Kata na Mitaa Manispaa ya Ubungo lengo ikiwa ni kudhibiti uharibifu wa mazingira.
Akiongea kwenye kikao kazi hicho Dkt. Elizabeth Mshote Mwenyekiti kikosi kazi Mkoa wa Dar es Salaam ameeleza sheria ya usimamizi wa rasilimali za maji Na. 11 ya mwaka 2009 inazitaka Bodi za maji za mabonde nchini Tanzania Bara kusimamia na kuratibu shughuli zote zinazofanyika ndani ya hifadhi za vyanzo vya maji kama vile mito, mabonde, maeneo oevu, maziwa, chemchemi na mabwawa.

Mshote ameendelea kueleza kutokana na uchimbaji holela wa mchanga katika mito na mabonde na kwakuwa kumekuwa na uhitaji mkubwa wa mchanga ambao unatumika kwa ajili ya kujengea miundombinu mbalimbali yakiwemo majengo ya Umma na binafsi na miradi mingine kumekuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira hasa kwenye mito na mabonde.
 
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James amewataka watendaji wa Kata na Mitaa pamoja na Wenyeviti wa Mitaa kuhakikisha wanadhibiti na kuyalinda mazingira juu ya uchimbaji holela wa mchanga.
Aidha, James amesema kuanzia ngazi ya Halmashauri, NEMC, Bonde Wami, Viongozi wa Kata na Mitaa kila mmoja anawajibu wa kufanya juu ya udhibiti wa mazingira.
James amewataka watu kuacha tabia ya kuchimba mchanga kiholela kwani kufanya hivyo kunapelekea uharibifu wa mazingira tena unaopelekea kupoteza makazi ya watu. Na amesema mtu yeyote atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria na kama ni kampuni basi itafungiwa.

Mbali na hayo James amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha watu hao wanashughulikiwa kwa mujibu wa sheria kwani kosa la uharibifu wa mazingira ni sawa na makosa mengine ya uvunjifu wa sheria.

“Tusipoipambania vizuri vita ya udhibiti wa mazingira vita zingine zitatushinda. Hakuna uchumi bila mazingira, hakuna utalii bila mazingira, hakuna diplomasia bila mazingira, hakuna siasa bila mazingira lindeni mazingira” Alisema James.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa