• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UPUNGUFU WA DAMU KWA WAJAWAZITO NI HATARI, MKATOE ELIMU

Posted on: March 20th, 2024

Mratibu wa Afya ya Uzazi na Mtoto Manispaa ya Ubungo Rehema Panga amewasisitiza wauguzi kuhakikisha wanawapa elimu wakina mama wajawazito wanapo kwenda kliniki kuzingatia vyakula na dawa za kuongeza damu kwa ajili ya kusaidia  kuepukana na vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua


Panga amesema hayo  tarehe 20 March, 2024  ikiwa ni siku ya mwisho ya  mafunzo kwa Wauguzi, maafisa Ustawi na maafisa lishe kuhusiana na mikakati ya kupunguza ongezeko la Utapia mlo, kifua kikuu na Ukatili wa kijinsia kwa watoto

Panga amesema kuwa, katika kuhakikisha vifo vya mama na mtoto  vinapungua ni lazima wauguzi katika vituo vya afya  kuhakikisha wanafatilia kwa ukaribu wajawazito wote wanaokutwa na changamoto ya upungufu wa damu na maradhi mbalimbali wanapoenda kliniki ili  kuokoa maisha ya mama na mtoto aliye tumboni

"Upungufu wa damu ni hatari ni jukumu la kila mama kuhakikisha anazingatia dawa wanazopewa kliniki kwa ajili ya kuongeza damu" amesisitiza Panga

Aidha, Afisa lishe Manispaa ya Ubungo Beatrice Mossile aliongezea kwa kuwasisitiza  wauuguzi kuhakikisha wanawasisitiza wajawazito kula vyakula vinavyosaidia katika ujauzito wake kwaajili ya kuboresha makuzi ya mtoto aliyetumboni pamoja na afya ya mama.

"Ni muhimu mjamzito na mama anayenyonyesha kupata lishe bora" amesisitiza Mossile

Mossile amezungumzia pia elimu ya mama anayenyonyesha na kuwasisitiza Wauguzi na Maafisa Ustawi wanapokuwa katika jamii watoe elimu ya umuhimu wa maziwa ya mama kwa mtoto ili jamii ielewe umuhimu wa maziwa ya mama kwa afya ya mtoto ikiwemo kumkinga mtoto na maradhi.

Na pia Mossile amesisitiza swala la unyonyesha wa watoto maziwa ya mama na  wanapoanza kula wapewa vyakula kufuata mlo kamili na umri wa mtoto.





Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa