• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UZINDUZI WA CHANJO YA POLIO AWAMU YA NNE UBUNGO

Posted on: December 1st, 2022


Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Polio uliotokea nchi jirani, Manispaa ya Ubungo Leo tarehe 01 Disemba, 2022 imefanya uzinduzi wa nyumba kwa nyumba wa chanjo ya matone ya polio kwa watoto wenye umri kuanzia mwezi sifuri hadi miaka mitano.

Akiongea katika uzinduzi huo Dkt. Peter Nsanya ameeleza kampeni hiyo ya kitaifa ya awamu ya nne itafanyika kwa siku nne ambapo wataalamu wa afya watapita nyumba kwa nyumba kwa ajili ya kuwapatia chanjo ya matone ya polio kwa watoto wenye umri wa kuanzia miezi 0 hadi miaka 5. Pia amesema watoto waliokwisha pata chanjo hiyo kwa awamu za nyuma bado watatakiwa kupata kwa awamu hii kwani chanjo hiyo haina madhara.

Dkt. Peter ameeleza ugonjwa wa polio unatokana na kula chakula chenye kinyesi na madhara yake ni kupata ulemavu wa kudumu au kupoteza maisha hivyo ametoa wito kwa jamii kuhakikisha kuwa mazingira yanakuwa safi na chakula kinaandaliwa kwa usafi muda wote.

Nae Mhe. Kheri James Mkuu wa Wilaya ya Ubungo amesema kila mzazi au mlezi mwenye mtoto mwenye kustahili kupata chanjo ana jukumu la kuhakikisha mtoto anapata chanjo hiyo kwa kuwapa ushirikiano watoa huduma watakao pita majumbani kwao.

Aidha, James ameeleza kuwa  Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa inawalinda watu wake ili wawe salama kwa mashambulizi ya magonjwa yaliyopo ndani na yale yanayotoka nje na ameeleza hakutakuwa na mtoto mwenye kustahili kupata chanjo na akaachwa bila kupata chanjo.

“Ni jukumu la Serikali na ni wajibu wa Serikali kuendelea kuwatunza, kuwalinda na kuhakikisha watoto wetu wanakuwa katika mazingira yenye afya na hatimae kuwa bora katika kizazi cha Leo na cha kesho kwa maslahi ya Nchi yetu” Alisema James.

Manispaa ya Ubungo kwa awamu ya nne ya kampeni ya chanjo ya matone ya polio inategemea kuwapatia chanjo hiyo ni takribani watoto 209,688.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa