- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Dkt. Peter ameeleza ugonjwa wa polio unatokana na kula chakula chenye kinyesi na madhara yake ni kupata ulemavu wa kudumu au kupoteza maisha hivyo ametoa wito kwa jamii kuhakikisha kuwa mazingira yanakuwa safi na chakula kinaandaliwa kwa usafi muda wote.
“Ni jukumu la Serikali na ni wajibu wa Serikali kuendelea kuwatunza, kuwalinda na kuhakikisha watoto wetu wanakuwa katika mazingira yenye afya na hatimae kuwa bora katika kizazi cha Leo na cha kesho kwa maslahi ya Nchi yetu” Alisema James.

