• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

VIONGOZI WA MITAA WATAKIWA KUHAKIKI KAYA HEWA ZA TASAF

Posted on: January 8th, 2021

Viongozi wa  mitaa 50 Manispaa ya Ubungo  inayotekeleza mradi wa kunusuru kaya kupitia Mfuko wa maendeleo ya jamii TASAF wameagizwa  kuhakiki walengwa wanaonufaika na mfuko huo  ili kuhakikisha  kaya zisizostahili maarufu kama Kaya hewa zinaondolewa kwenye mpango huo.

Agizo hilo limetolewa leo januari 8, 2021 na Mratibu wa TASAF Manispaa ya Ubungo  Wakuru Nyaratha wakati alipofanya ziara ya kutembelea  viongozi hao na kueleza kuwa zoezi hilo la  uhakiki ni mwendelezo wa  uhakiki uliofanyika mwezi julai na novemba mwaka 2020 lengo ikiwa ni kuhakikisha mpango huo unanufaisha walengwa halisi.

Wakuru amefafanua kuwa  uhakiki uliofanyika awali mwezi julai na mwezi novemba mwaka  2020 kaya zote zilizobainika kukosa sifa ziliondolewa kwenye mfumo wa ruzuku ya TASAF hivyo  uhakiki wa sasa ni kujiridhisha zaidi endapo kuna kaya isiyo na sifa na bado inanufaika na mpango.

Wakuru amesema kuwa "muongozo wa TASAF unataka kaya zinazonufaika zisiwe kaya za viongozi wa serikali za mitaa, wastaafu, waajiriwa na watu wenye vipato vya kujitoshereza"

Baada ya uhakika  wa mwezi julai na novemba 2020, Manispaa ya Ubungo ina jumla ya kaya  2189 zinazonufaika na mfumo wa ruzuku kwa walengwa  TASAF  wa  kati ya kaya 2656 zilizokuwepo awali. Aidha katika uhakiki kaya 20 zilihama makazi, kaya 16 zilijitokea kwa hiari huku kaya 11 zikipoteza sifa kutokana na kifo, kaya 400 hazikujitokeza kwenye uhakiki.

Kwa upnde wake, Diwani wa kata ya Goba  Mhe. Ester Radislaus Ndoha  amekiri kuwepo kwa malalamiko ya baadhi ya kaya zisizo na sifa kunufaika na rukuzu inayotolewa na TASAF  huku wale wanaostahili kukosa fursa hiyo.

"Nitasimamia kuhakikisha tunafanya uhakiki makini ili kaya zisizo na sifa wakiwemo viongozi wa serikali za mitaa ziondolewe kwenye  mpango kama muongozo unavyotaka, lakini pia kumuunga mkono mheshimiwa Rais ambaye anataka mpango huu uwasaidie wale wasiojiweza kiuchumi angalau wawe na uhakika wa kupata mahitaji ya msingi.

Kwa malipo ya mwezi wa Oktoba, kaya  jumla ya shilingi  137,034,000 zilitolewa kwa kaya 1595.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa