• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO (MACHINGA) WAPEWA ELIMU UMUHIMU WA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI

Posted on: August 13th, 2025

Manispaa ya Ubungo kupitia wataalam wa idara ya maendeleo ya jamii wamefanya ziara ya kutembelea masoko yaliyopo katika Wilaya hiyo ambapo tarehe 13 agosti, 2025 wamefika katika Soko la Mabibo, Soko la Big brother na soko la shekilango  na Kutoa elimu kuhusiana umuhimu wa wafanyabiashara wadogo  kuwa na vitambulisho vya wafanyabiashara ndogondogo ili waweze kutambulika.

Akizungumza katika ziara hiyo Mratibu wa wafanyabiashara ndogondogo katika Wilaya ya Ubungo  Bi. Stela Juma amewataka wafanyabiashara hao kila mmoja kuwa na kitambulisho cha umachinga ambacho kitamuwezesha kujulikana kupitia eneo analofanyia biashara zake za kila siku na kumwezesha kupata Mikopo  inayotolewa na Serikali ya 10% ambayo Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imeshafungua dirisha hilo

Ameendelea kwa kuwaeleza kuwa, vitambulisho hivyo vinamwezesha  mfanyabiashara kuwa katika mipango ya maendeleo ambayo inaweza kuandaliwa kwaajili ya kuboresha ustawi wa wafanyabiashara katika masoko.

Aidha, Bi stela amewaeleza wafanyabiashara hao kuelewa umuhimu wa vitambulisho hivyo pamoja na kutoa elimu kuhusuMikopo ya wafanyabiashara ndogondogo inayotolewa na Wizara ya Maendeleo na  kuratibiwa na  benki ya NMB na mikopo hiyo inariba nafuu ya asilimia 7 na yenye masharti nafuu ambayo hayamuumiza mfanyabiashara ndogondogo bali kumkuza kiuchumi

Nae mfanyabiashara Kulwa anayejihusisha na uuzaji wa matunda amewaasa wafanyabiashara kuhakikisha wanapata vitambulisho hivyo kwani si jambo la hiari ni agizo na vina msaada mkubwa kwani vinampa utambulisho mjasiriamali

Ziara hiyo ni maandalizi ya jukwaa la wafanyabiashara linalotegemewa kufanyika ili kutatua changamoto za wafanyabiashara wadogo (Machinga) baada ya kamati kupita na kutambua wajasiriamali katika masoko hayo na kuwapa elimu juu ya umuhimu wa kujisajili na kutambulikana kama wafanyabiashara wadogo (Machinga)

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO (MACHINGA) WAPEWA ELIMU UMUHIMU WA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI

    August 13, 2025
  • BANDA LA UBUUNGO LAFURIKA, MAONESHO YA NANE NANE - MOROGORO

    August 08, 2025
  • MHE.MALIMA KATIKA BANDA LA UBUNGO MAONESHO NANENANE

    August 06, 2025
  • UBUNGO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI, ZAHANATI YA GOBA

    August 05, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa