• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WALIMU WAKUBORA NGAZI YA SHULE WANOLEWA KUTUMIA MFUMO WA KIDIJITI WA UTHIBITI UBORA WA SHULE.

Posted on: July 22nd, 2025


Wakuu wa shule na wathibiti ubora ngazi ya shule halmashauri ya manispaa ya Ubungo wameatiwa mafunzo ya kutumia mfumo wa kidijiti wa uthibiti ubora wa shule (School Quality Assurance System - SQAS) ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi mkubwa.

Akifungua mafunzo hayo ya siku tatu yaliyohusisha washiriki zaidi ya 300, Afisa Elimu Mkoa wa Dar es salaam Mwl. Gift Kyando, amesema mfumo huo utarahisisha utendaji kazi na upatikanaji wa taarifa sahihi na kwa wakati.

Aidha amesema ubora wa elimu ni msingi wa maendeleo ya taifa, akisisitiza kuwa serikali imeanzisha mfumo huu ili kuongeza ufanisi, uwazi, uwajibikaji na kuimarisha ukusanyaji, uchambuzi, na utoaji wa mrejesho wa tathmini za shule kwa wizara na wadau wa elimu ambapo pia Mfumo huu utawezesha utunzaji na uchakataji wa taarifa kwa urahisi na kwa wakati.

Ofisa Mthibiti Ubora Mkuu wa Shule, Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mwl. Margareth Kihiyo amesema kuwa mfumo huu utasaidia kuboresha utendaji wa kazi zao kwa kupunguza matumizi ya fomu za karatasi, ambazo zilihitajika kujazwa kuanzia ngazi ya shule hadi wilaya ili kufanya tathmini ya shule.

“Hapo awali, mfumo huo ulikuwa na changamoto katika kuchakata takwimu kwa ujumla, lakini sasa taarifa zote zitakuwa zinapatikana moja kwa moja kwenye mfumo, hivyo kurahisisha tathmini na kuhakikisha ubora wa shule unaimarika” amesema Mw. Kihiyo

Ameeleza kuwa mafunzo hayo ni muhimu na yanapaswa kutekelezwa kwa ufanisi ili kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa mafanikio makubwa.

Mfumo huu wa kidijiti ulijengwa baada ya kufanya mazungumzo na wathibiti ubora wa shule ili kuelewa namna wanavyotekeleza majukumu yao ambapo sasa unatarajiwa kuleta mapinduzi makubwa katika uthibiti ubora wa shule, kuhakikisha taarifa zinapatikana kwa haraka na kusaidia katika kufanya maamuzi sahihi kwa maendeleo ya elimu nchini.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO (MACHINGA) WAPEWA ELIMU UMUHIMU WA KITAMBULISHO CHA MJASIRIAMALI

    August 13, 2025
  • BANDA LA UBUUNGO LAFURIKA, MAONESHO YA NANE NANE - MOROGORO

    August 08, 2025
  • MHE.MALIMA KATIKA BANDA LA UBUNGO MAONESHO NANENANE

    August 06, 2025
  • UBUNGO YAADHIMISHA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA DUNIANI, ZAHANATI YA GOBA

    August 05, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa