• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAMILIKI WA BAA NA KUMBI ZA BURUDANI UBUNGO WAKUMBUSHWA KUWA NA VIBALI HALALI

Posted on: December 5th, 2020

Wamiliki wa baa na kumbi za burudani Manispaa ya Ubungo wametakiwa kufuata sheria na kanuni ya kukata vibali vya burudani vinavyowapa uhalali wa kufanya Biashara hiyo kwa kutumia kazi za Sanaa Kwa kuwa Sanaa ni kazi na ni Biashara Kama zilivyo Biashara zingine hivyo zinapaswa kulipa tozo.

Agizo Hilo limetolewa na Afisa utamaduni wa Manispaa hiyo,Ritha Nguruwe wakati wa ukaguzi wa maeneo ya burudani hizo na kuainisha kuwa Kumbi hizo ni pamoja na kumbi za sherehe, upigaji wa mziki wa vyombo(live band) hivyo wanatakiwa kulipa tozo za Vibali Kama sheria ndogo za Manispaa zinavyoelekeza

"Kwa sasa,tukiwa tunaelekea mwishoni mwa mwaka shughuli za burudani ni nyingi Sana hivyo tunawakumbusha na kuwaelekeza wamiliki wa kumbi za burudani na baa kuwa na vibali ili kulinda usalama wa mlaji wa kazi za Sanaa" ameeleza Nguruwe.

Nguruwe amesema kuwa, Wamiliki wengi wa sehemu za kutoa huduma za burudani hawafuati sheria ya kukata vibali ndio maana tumeamua kufanya ukaguzi wa kushtukiza ili kubaini wanaokwepa kulipa tozo Kwa wakati Kama Serikali inavyosisitiza ulipaji wa kodi na tozo mbalimbali.

Aidha, Ritha amefafanua kuwa, Kumbi ambazo hazina zuio la sauti (sound proof) zinaruhisiwa kutoa burudani mpaka saa 6 usiku Kwa siku za jumamosi na jumapili huku siku za kawaida mwisho saa tano wakati zenye zuio la sauti zinaruhisiwa kutoa burudani zaidi ya masaa hayo.

Zoezi hili linatekelezwa na Manispaa Kwa mujibu wa sheria ndogo za Vibali vya burudani ambazo zinawataka wamiliki wa maeneo yanayotoa burudani kulipia Vibali vya kutoa burudani hizo ikiwa ni sehemu ya kuchangia mapato ya Manispaa na Kwa kutambua kazi za Sanaa.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa