• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAMILIKI WA HOTEL WAIPA HEKO IDARA YA MAZINGIRA KWENYE MIPANGO YA UTATUZI WA CHANGAMOTO YA MAJI TAKA

Posted on: August 23rd, 2023

Katika muendelezo wa mikakati ya kampeni ya "Kataa Uchafu, Safisha Pendezesha Ubungo"  Agosti 23, 2023 idara ya mazingira na udhibiti wa taka Ngumu Manispaa ya Ubungo imefanya kikao na wadau wa mazingira kutoka kata ya Sinza, Ubungo na Manzese ili kujadili changamoto mbalimbali za taka ngumu zinazokabili kata hizo na njia bora ya kukabiliana nazo

Wadau walioshiriki kikao hicho ni pamoja na wamiliki wa hoteli na kumbi za starehe ambao hao ndo wadau wakuu wanaozalisha kwa wingi taka ngumu na kutiririsha maji taka kutoka katika maeneo yao ya biashara. Pamoja na wadau hao pia katika kikao hicho walialikwa viongozi wa DAWASA ambao ndio taasisi yenye wajibu wa kukabiliana na maji taka

Akiongea katika kikao hicho afisa tarafa ya Ubungo Ndg. Agnes Kyando ambaye alimuwakilisha mkuu wa wilaya ya Ubungo amesema kuwa wamiliki wa hoteli na kumbi za starehe ni wadau muhimu kuelekea kwenye kampeni ya "Kataa Uchafu, Safisha Pendezesha Ubungo" ambayo inatarajiwa kuzinduliwa Jumamosi ya Agosti 26, 2023 katika kata ya Manzese eneo la Bakhresa, hivyo wajitokeze kwa wingi ili kufanikisha kampeni hiyo

Akiongea katika kikao hicho mkuu wa idara ya Mazingira na udhibiti wa taka ngumu Manispaa ya Ubungo Lawi Benard ametumia kikao hicho kutengeneza uelewa wa pamoja wa changamoto za majitaka  katika maeneo hayo ili kwa pamoja kutafuta suluhu ya kudumu

Kwa upande wa wamiliki, kwanza wameiongeza Manispaa ya Ubungo kwa kufanikisha kikao hicho ambacho wamekiri kuwa ni kikao chenye tija kubwa kwao kwa kuzingatia kuwa biashara zao zimekuwa zikikabiliwa na tatizo la maji taka kwa muda mrefu sasa

Aidha wameuomba uongozi wa DAWASA kuhakikisha wanakuja na majawabu ya kudumu kwa changamoto hiyo ikiwemo kuwa na bomba kubwa la maji taka ili kukabiliana na kero ya majitaka kwa njia ya kisasa zaidi


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa