- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
- Awali eneo hilo lilitolewa kibali cha ujenzi kwaajili ya makazi badala yake mmiliki aligeuza matumizi ya eneo hilo na kuanza kujenga kanisa jambo ambalo lilikua linaenda kinyume na maombi ya kibali cha ujenzi kilichotolewa kwa eneo hilo. Zaidi ya hapo eneo hilo ni la makazi tu na haliruhusiwi kufanya ujenzi wa huduma za jamii
- Aidha kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaozunguka eneo hilo juu ya kelele zinazosababishwa na vyombo pamoja na spika zilizokuwa zimefungwa katika kanisa hilo ambalo lipo jirani kabisa na wananchi

