• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WASHINDI WA KAUSAPEU HAWA HAPA

Posted on: February 10th, 2024

Washindi wa Kampeni ya Kataa Uchafu, Safisha, Pendezesha Ubungo (KAU-SAPEU) wametangazwa rasmi Leo tarehe 10/2/2024 na mshindi wa kwanza ni Mtaa wa Kibururu kutoka Kata ya Goba umepata zawadi ya kiasi Cha shilingi laki sita(600,000), Mtaa wa pili ni Mtaa wa Sinza "A" kutoka Kata ya Sinza umeondoka na shilingi laki tatu (300,000)  na Mtaa  wa tatu ni Mtaa wa Mabibo kutoka Kata ya Mabibo  umepata kiasi Cha shilingi laki mbili (200,000) na hao ndo washindi wa KAU- SAPEU ( Kataa uchafu, safisha , pendezesha Ubungo kwa kipindi cha miezi nne kupita toka kuzinduliwa kwa kampeni hiyo

Na mtaa uliofanya vibaya kwa kipindi Cha miezi minne pia wamekabidhiwa bendera ya  balozi wa Uchafu Ubungo ambayo itapepea katika mtaa huo ambao ni Mtaa wa MIDIZINI kutoka Kata ya Manzese.

Akizungumza katika hafla hiyo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amesema kuwa usafi ni utamaduni , usafi ni ustarabu na usafi ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha anaweka mazingira safi

Komba aliendelea kueleza kuwa, Tani 895 za uchafu zinazalishwa kwa Wilaya ya Ubungo hivyo ni jukumu la kila mmoja  kuhakikisha  anafanya usafi ili kuepukana na milipuko ya magonjwa

"Kuna changamoto ya utiririshaji wa maji machafu katika maeneo yetu ni jambo ambalo sio sawa" alisisitiza Komba

Komba alisisitiza Kila mwananchi atambue umuhimu wa kupendezesha maeneo yake, barabara na Wilaya nzima kwa kupanda miti 

Ikumbukwe kuwa tangu kuanzishwa kwa kampeni ya KAU-SAPEU iliyozinduliwa katika Kata ya Manzese mnamo tarehe 26/8/2023  Manispaa ya Ubungo imetangaza rasmi  washindi ambapo waliahidiwa kupata zawadi kwa mtaa utakao fanya usafi vizuri na mtaa utakao fanya vibaya na mtaa huo umepokea bendera inayo sema BALOZI WA UCHAFU UBUNGO.

Washindi hao wamepatikana kwa kuzingatia Vigezo mbalimbali 

Aidha,Wadau mbalimbali wameshiriki wakiwemo TIB,TSP, UDEFO na NIPE FAGIO.















Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa