• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATAALAMU MANISPAA YA UBUNGO WAPATIWA ELIMU YA MALEZI MBADALA

Posted on: September 10th, 2022



Manispaa ya Ubungo kwa kushirikiana na shirika la SOS CHILDREN VILLAGE Leo September 10, 2022 wametoa mafunzo kwa wataalamu wa Manispaa hiyo wakiwemo Maafisa Watendaji Kata, Ustawi wa jamii, Maendeleo ya Jamii, pamoja na Maafisa Ustawi wa Jamii wa vituo vya Polisi lengo ikiwa ni kuwapa mafunzo juu ya masuala ya Malezi Mbadala ya watoto.


Kumekuwa na sababu mbalimbali zinazopelekea mtoto kupelekwa kwenye malezi mbadala ikiwemo ukatili na unyanyasaji wa watoto, wazazi kufariki na kupelekea mtoto kukosa uangalizi, imani potofu na mengineyo.

Sheria ya mtoto No 21 ya mwaka 2009 ambayo imefanyiwa maboresho mwaka 2019 imetoa wajibu kwa Serikali, wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kuwalinda watoto dhidi ya ukatili na ubaguzi.


Akiongea katika mafunzo hayo Bi Edna Kamaleki anaeshughulika na masuala ya ushauri wa haki za watoto (Adv & Child Right Consultant) ameeleza kuwa malezi mbadala ni malezi ambayo mtoto anayapata akiwa chini ya uangalizi tofauti na familia yake au malezi yake ya asili, ambayo mtoto anayapata kutoka kwenye aina mbalimbali ikiwemo malezi ya makao, kuasili, kambo, ndugu na ya watu wa kuaminika.


Nae Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo Dkt. Peter Nsanya wakati anafungua mafunzo hayo amewataka wataalamu hao kuzingatia mafunzo hayo na ametoa wito kwa jamii juu ya watu wote wanaowapatia watoto malezi mbadala wakiwemo watu wa kuaminika, ndugu, wanaoasili watoto, makao yanayolea watoto na malezi ya kambo kulea watoto hao kwa kuzingatia misingi, kanuni na taratibu zilizowekwa ili kuwa na Jamii salama.

Kwa upande wake Bw. Godson Tony mwakilishi kutoka shirika la SOS CHILDREN’S VILLAGE ameeleza kuwa shirika hilo kwa kushirikiana na Serikali limeandaa mradi wa kumuwezesha mtoto kuanzia hatua ya kumhudumia hadi kumuunganisha na familia yake pale itakapohitajika kufanya hivyo.


Mkuu wa kitengo cha Ustawi wa Jamii wa Manispaa hiyo Bi. Zainabu Masilamba amewataka Maafisa Ustawi Kata wa Manispaa hiyo kuzitambua makao ambazo zina watoto wanaostahili kukabidhiwa kwenye familia zao za asili na kuwapa maelekezo wahusika wa Makao hizo juu ya taratibu za kufuata juu ya watoto hao.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa