• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATENDAJI KATA UBUNGO WAPIGWA MSASA KUHUSU USAFI

Posted on: November 24th, 2022


- Mapema leo Novemba 24, 2022 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James amefanya kikao kazi na watendaji wa kata zote 14 za Manispaa ya Ubungo kuhusu ajenda kuu ya usafi wa mazingira katika mitaa yote

- Katika kikao hicho James amewakumbusha watendaji hao juu ya nafasi kubwa walonayo ya kuwasimamia watendaji wa mitaa ili kuitekeleza kwa nguvu ajenda ya usafi wa mazingira ambayo bado kuna changamoto kwenye utekelezaji wake

- Akiongea katika kikao hicho James amesema kuwa bado kuna changamoto kadhaa kwenye baadhi ya mitaa yetu, changamoto ikiwemo utiririshaji wa maji machafu kwenye barabara, uuzaji wa biashara ndogondogo kiholela, bajaji kupaki kiholela pamoja na wafanyabiashara kurudi kwenye maeneo yaliyokatazwa kufanya biashara.

"Bado maeneo kama Mbezi na Manzese kuna changamoto kubwa ya wafanyabiashara kurudi kwenye maeneo waliyokatazwa hivyo basi Watendaji lazima muhakikishe maeneo hayo yanarudi kuwa masafi na kuwapeleka wafanyabiashara kwenye maeneo waliyopangwa" alisema

- Naye afisa mazingira wa Manispaa ya Ubungo ndugu Lawi Benard amewataka watendaji hao wa kata kutorudi nyuma kwenye ajenda ya usafi na wahakikishe maeneo yao wanayosimamia yawe masafi kwa muda wote. Benard ameongeza kuwa Manispaa inajipanga kupanda miti pembezoni mwa barabara ya Morogoro ili kuleta mandhari mazuri ya wilaya ya Ubungo

- Akichangia katika kikao hicho Afisa biashara Manispaa ya Ubungo ndugu Merry Mwakyosi amewaomba watendaji hao kutoa ushirikiano mkubwa kwenye kutoa taarifa ya wafanyabiashara ambao hawana leseni katika maeneo yao hali inayopelekea kuikosesha Manispaa mapato

- Kampeni ya usafi wa mwisho wa mwezi kiwilaya inatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Novemba 26 katika kata ya Mbezi eneo la njiapanda ya Goba hadi kituo cha Mabasi cha Magufuli ambapo mgeni rasmi atakua ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa