• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATENDAJI KATA UBUNGO WAPIGWA MSASA KUHUSU USAFI

Posted on: November 24th, 2022


- Mapema leo Novemba 24, 2022 Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James amefanya kikao kazi na watendaji wa kata zote 14 za Manispaa ya Ubungo kuhusu ajenda kuu ya usafi wa mazingira katika mitaa yote

- Katika kikao hicho James amewakumbusha watendaji hao juu ya nafasi kubwa walonayo ya kuwasimamia watendaji wa mitaa ili kuitekeleza kwa nguvu ajenda ya usafi wa mazingira ambayo bado kuna changamoto kwenye utekelezaji wake

- Akiongea katika kikao hicho James amesema kuwa bado kuna changamoto kadhaa kwenye baadhi ya mitaa yetu, changamoto ikiwemo utiririshaji wa maji machafu kwenye barabara, uuzaji wa biashara ndogondogo kiholela, bajaji kupaki kiholela pamoja na wafanyabiashara kurudi kwenye maeneo yaliyokatazwa kufanya biashara.

"Bado maeneo kama Mbezi na Manzese kuna changamoto kubwa ya wafanyabiashara kurudi kwenye maeneo waliyokatazwa hivyo basi Watendaji lazima muhakikishe maeneo hayo yanarudi kuwa masafi na kuwapeleka wafanyabiashara kwenye maeneo waliyopangwa" alisema

- Naye afisa mazingira wa Manispaa ya Ubungo ndugu Lawi Benard amewataka watendaji hao wa kata kutorudi nyuma kwenye ajenda ya usafi na wahakikishe maeneo yao wanayosimamia yawe masafi kwa muda wote. Benard ameongeza kuwa Manispaa inajipanga kupanda miti pembezoni mwa barabara ya Morogoro ili kuleta mandhari mazuri ya wilaya ya Ubungo

- Akichangia katika kikao hicho Afisa biashara Manispaa ya Ubungo ndugu Merry Mwakyosi amewaomba watendaji hao kutoa ushirikiano mkubwa kwenye kutoa taarifa ya wafanyabiashara ambao hawana leseni katika maeneo yao hali inayopelekea kuikosesha Manispaa mapato

- Kampeni ya usafi wa mwisho wa mwezi kiwilaya inatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Novemba 26 katika kata ya Mbezi eneo la njiapanda ya Goba hadi kituo cha Mabasi cha Magufuli ambapo mgeni rasmi atakua ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI KATIKA ZAHANATI YA TEMBONI

    January 20, 2023
  • MADIWANI WA MANISPAA YA UBUNGO WAKUTANA KUPITIA SHERIA NDOGO MPYA

    January 20, 2023
  • MRADI MKUBWA WA KITUO CHA BIASHARA NA LOGISTIKI CHA AFRIKA MASHARIKI KUANZA KUJENGWA UBUNGO

    January 20, 2023
  • VISHKWAMBI 3354 VYAKABIDHIWA KWA WALIMU WA MSINGI NA SEKONDARI - UBUNGO

    January 16, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 271 KUJENGA KITUO KIKUBWA CHA BIASHARA UBUNGO | MADUKA 2,060 | AFRIKA MASHARIKI KUJA UBUNGO
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa