- Mwanzo
- Kuhusu sisi
-
Utawala
- Muundo
-
Idara
- Elimu Sekondari
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Vitengo
- Sheria ndogo ndogo za Manispaa
- Fursa za Uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
Aidha Dr. Mhede ameeleza kuwa muda wowote kutoka sasa DART watasaini mkataba na mtoa huduma mwingine wa pili atakaeongeza mabasi mengine 177 ili kuongeza ufanisi wa huduma na kukabiliana na changamoto zilizopo ikiwemo changamoto vya msongamano pamoja kusubiri muda mrefu vituoni.
“pamoja na kazi kubwa mnayofanya lakini uhitaji kwa wananchi bado ni mkubwa hivyo mnatakiwa kupanua wigo wa utoaji huduma hiyo” alisema

