• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAZAZI WASISITIZWA KUZINGATIA SIKU 1000 ZA UKUAJI WA MTOTO

Posted on: March 19th, 2024

Ni muhimu mama/Walezi/wazazi  kuzingatia lishe bora kwa Siku 1000 toka kutungwa kwa mimba mpaka mtoto anapofikia miaka 2 ili kumuepusha mtoto na magonjwa sugu yasiyoambukiza.

Hayo yameelezwa na Afisa lishe Manispaa ya Ubungo Beatrice Mossile akitoa mafunzo kwa Wauguzi, Maafisa ustawi na Maafisa lishe kwaajili ya  kuwajengea uwezo kuhusiana na lishe bora ili kupunguza ongezeko la watoto wenye utapia Mlo

Mafunzo hayo yametolewa Leo 19 march, 2024 yenye Lengo la kuwajengea uwezo utakao wawezesha kutoa elimu katika ngazi ya  jamii kuhusiana na mikakati inayolenga kuzuia ongezeko la Utapia mlo, kifua kikuu na Ukatili wa kijinsia kwa watoto

Mossile, amesema kuwa ni muhimu Lishe bora kuzingatiwa kwa wakina mama  katika kipindi cha Siku 1000 itasaidia mtoto katika ukuaji wake hasa katika ubongo wa mtoto na  katika swala zima la kujifunza na kuweza kujikwamua kwenye umaskini

Mama anapozingatia lishe yenye mlo kamili itasaidia mtoto atakayezaliwa kuepukana na utapia mlo,uzito pungufu na kupunguza kiwango Cha udumavu kwa watoto.alisisitiza Mossile

Ni muhimu kuzingatia Makundi muhimu ya vyakula ambayo yako sita nayo ni  1.Nafaka 2.vyakula asili ya mimea 3.vyakula vyenye asili ya wanyama 4.Matunda 5.Mboga mboga na 6. sukari,asali na mafuta. Alisema hayo Mossile

Aidha, Mratibu wa kifua kikuu Manispaa ya Ubungo Catherine Saguti amesema kuwa watoto wako hatarini kupata kifua kikuu kulingana na Mazingira ambayo yamewazunguka ikiwemo kuishi na mtu mzima mwenye kifua kikuu Cha mapafu na kuishi kwenye jamii yenye maambukizi ya kifua kikuu

Catherine aliendelea kwa kusema kuwa, Dalili za kifua kikuu kwa mtoto ni pamoja na kukohoa kwa wiki mbili mfululizo,kukosa uchangamfu,kupungua uzito,kukosa hamu ya kula na kupata homa kwa wiki mbili au zaidi

Aidha,Afisa Ustawi Manispaa ya Ubungo Zainabu Masilamba amesisitiza uzingatiaji wa malezi ya watoto kwa kuwapa malezi bora ili kuepukana na matendo ya Ukatili wa kijinsia kwa kuwapa mahitaji muhimu

Aliendelea kwa kusema kuwa ni muhimu watoto kupewa elimu kuhusiana na maswala  ya Ukatili wa kijinsia unaofanyika katika jamii zetu ili tuwaepushe na watu wenye dhamira mbaya

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa