• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAZIRI GWAJIMA AHIMIZA UPATIKANAJI WA TAARIFA ZA WATOTO WATORO MASHULENI

Posted on: March 21st, 2024

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi maalumu Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa viongozi wa wilaya ya Ubungo kuhakikisha wanaanza utaratibu wa ukusanyaji wa taarifa za wanafunzi watoro mashuleni ili kupata kiini halisi cha watoto wa mitaani

Waziri Gwajima ametoa wito huo Machi 21, 2024 wakati wa ziara yake aliyoifanya ndani ya wilaya ya Ubungo iliyokua na lengo la kufatilia udhibiti wa wimbi la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani

"Tatizo la watoto wa mitaani Ubungo na Dar es salaam linazidi kukua kwa kasi, lazima sisi kama jamii kwa kushirikiana na wataalamu tushirikiane kupata majawabu ya tatizo hili. Maafisa maendeleo, maafisa ustawi na viongozi wa wilaya na Halmashauri shukeni chini kwenye jamii kunyanyua hali za uchumi za wananchi ili watoto wasiache shule na kukimbilia mtaani" alisema Gwajima

Awali akiwasilisha taarifa ya watoto wa mitaani afisa ustawi wa jamii Manispaa ya Ubungo Zainab Masilamba amesema, tatizo kubwa la watoto wa mitaani kwa wilaya ya Ubungo linatokana na watoto hao kuingizwa kutoka mikoa mbalimbali kwa lengo la kuja kufanya kazi na wengine kujitafutia kipato wao wenyewe. Kwa idadi kubwa watoto hao wamekua wakiishi katika daraja la Kijazi pamoja na kituo cha Mabasi cha Magufuli

Kwa mujibu wa mpango kazi wa taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA) kamati zilizopo katika ngazi ya mitaa ndizo zenye nafasi kubwa ya kufuatilia matatizo mbalimbali yanayowahusu watoto ambayo yanaathiri maisha yao moja kwa moja

Nae mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Hassan Bomboko ameshauri kufanyika kwa marejeo ya sera ya kumlinda mtoto ili kuongeza ushirikiano wa sekta na idara mbalimbali kupunguza tatizo la watoto wanaoacha shule na kufanya kazi mitaani

Aidha Bomboko ameweka wazi kuwa wao kama wilaya wanayo mikakati madhubuti ya kukabiliana na changamoto hiyo ikiwemo kuanza kufanya oparesheni za kuwaondoa watoto hao mitaani na kuwapa misaada mbalimbali ikiwemo ya makao pamoja na kuwarudisha mashuleni

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa