• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WORLD VISION yatambulisha Mradi wa AHADI (AHADI PROJECT) Wilaya ya Ubungo.

Posted on: May 15th, 2023



Katika utambulisho huo wa mradi, Mgeni rasmi, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba alianza kwa kuwashukuru World Vision kwa mradi huo ambao unatekelezwa katika Wilaya nne ndani ya Mkoa wa Dar es salaam, Ubungo ikiwa ni moja ya wanufaika. Mradi huo unaohusiana na utoaji wa elimu ya Maadili na Afya ya uzazi kwa watoto wa kike na kiume waliopo shule na nje ya shule kuanzia umri wa miaka 10 hadi 19.


Mhe. Komba alisema "naamini mradi huu unakwenda kuleta mabadiliko makubwa katika Wilaya yetu hasa kipindi hiki kwani kumekuwepo na uporomokaji mkubwa wa maadili. Aliyataja baadhi ya maeneo yaliyopo katika Wilaya hiyo kama Mburahati na Manzese ambayo yapo hatarini.

Pia Mhe. Komba alisema malengo ya kuutambulisha mradi huo kwa wadau ndani ya Wilaya hiyo ni kuwapa uelewa wa mradi huo ili waweza  kutoa ushirikiano. Wadau hao ni Kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, Wakuu wa Idara na Vitengo, Viongozi wa dini, Watendaji wa Kata na Mitaa ili kila mmoja autambue na aweze kutoa ushirikiano kwa nafasi yake na kuhakikisha malengo ya mradi yaliyokusudiwa yanafikiwa.


Aliongeza zaidi, katika mradi huu unaolenga watoto wa kike na kiume kuanzia umri wa miaka 10 hadi 19. Ukaguse makundi yaliyokusudiwa, makundi yaliyolengwa na mradi huo na kuwataka watendaji kwenda kusimamia hilo, alisema "Nendeni mkawe msaada kubainisha makundi lengwa katika maeneo yenu".

Mradi huo unaosimamiwa na Bi. Mwivano Malimbwi ambaye ni Meneja mradi kutoka World Vision, alisema mradi huu unawalenga watoto wa kike na kiume waliopo shule na nje ya shule ili kuwapa Elimu ya maadili na Afya ya uzazi. Hilo limekuja kwa kuona kuna changamoto kubwa upande wa maadili na Afya ya uzazi, hivyo World Vision wakaone waje na mradi huo na kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanajishughulisha na makundi ya jamii moja kwa moja na kwa kuangalia Dira ya Serikali juu ya jambo hilo.


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • MAFUNZO KWA WATENDAJI NGAZI YA KATA KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI.

    May 14, 2025
  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa