• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

Posted on: March 1st, 2023

Timu ya wataalamu ya Manispaa (CMT) chini ya Mkurugenzi wa Manispaa ndugu Beatrice Dominic wametakiwa kujipanga vizuri kwenye usimamiaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya Manispaa ya Ubungo. Hayo yamesemwa leo Machi 01, 2023 na mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe.Hashim Komba wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi 

Ziara hiyo imefanyika leo ambao Mhe. Komba aliambatana na kamati ya ulinzi na usalama pamoja na timu ya wataalamu wa Manispaa ya Ubungo ambapo miradi iliyotembelewa ni pamoja na shule ya msingi Kiluvya, shule ya msingi Kibamba, kituo cha Afya Amani, shule maalumu ya wasichana, kituo cha Afya Goba, ujenzi wa shule ya sekondari Ubungo NHc pamoja na kituo cha Afya Palestina 

Katika ziara hiyo Mhe. Komba ameridhishwa na maendeleo ya baadhi ya miradi ikiwemo shule ya msingi Kiluvya ambapo pamejengwa madarasa matatu kwa shilingi 60,000,000 fedha za mapato ya ndani pamoja na mradi wa ujenzi wa shule maalumu ya wasichana ya mkoa ambayo inajengwa kwa gharama za shilingi bilioni 3 fedha kutoka serikali kuu 

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Hashimu Komba akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi  katika shule ya msingi kibamba 


Aidha katika mradi wa madarasa matatu katika shule ya msingi Kibamba ambayo yalikabidhiwa mwezi Disemba 2022 kwa ufadhili wa kanisa la Yesu Kristo watakatifu wa siku za mwisho, Mhe. Komba hajaridhishwa na ubora wa madarasa hayo na tayari ametoa maagizo kwa mkurugenzi kuchukua hatua za kurekebisha dosari zilizojitokeza 

Katika mradi wa shule ya sekondari Ubungo NHC ambao panajengwa madarasa 8 kwa mtindo wa ghorofa, Mkuu wa Wilaya pamoja na kamati yake ya Ulinzi na Usalama imebaini dosari katika mfumo wa manunuzi na matumizi na tayari ameagiza TAKUKURU na Mkaguzi wa ndani kuanza uchunguzi mara moja 

Kwa upande wa shule maalumu ya wasichana ambayo inajengwa mtaa wa Njetemi Kwembe, Mhe Komba ameridhishwa na maendeleo ya mradi huo ambao unatarajiwa kukabidhiwa mwezi Aprili 2023. 

Pamoja na hilo Mhe. Komba ameiagiza idara ya Mazingira kufika katika mradi huo na kuandika andiko la kupendezesha eneo lote la shule pamoja na idara ya mipango miji kuandaa michoro ya miundombinu wezeshi ya kuunganisha jengo moja na jengo jingine 


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UBUNGO YAFANYA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KIWILAYA

    March 08, 2023
  • ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YAFANYIKA , DC KOMBA ATOA MAELEKEZO

    March 01, 2023
  • UBUNGO YATIA FORA KAMPENI YA SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM, RC MAKALLA AIPONGEZA

    February 25, 2023
  • BODI YA AFYA YAPITIA TAARIFA YA UTENDAJI ROBO YA PILI

    March 24, 2023
  • Tazama zote

Video

FAHAMU ALICHOKISEMA DC KOMBA KWENYE ZIARA LEO | AIAGIZA TAKUKURU KUFANYA UCHUNGUZI
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa