• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA MKURUGENZI NTIRUHUNGWA KWENYE UKAGUZI WA MIRADI

Posted on: September 23rd, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Elias Ntiruhungwa mapema  tarehe 23 septemba, 2023 amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi na kuagiza kasi ya utekelezaji wa miradi iongezeke ili iweze kukamilika kwa wakati 

Katika ziara hiyo Ntiruhungwa amekagua ujenzi wa shule ya msingi Ubungo NHC,mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari King'azi, shule ya msingi  kibamba, shule ya msingi Msakuzi Kusini, Shule ya Sekondari ya Dar es Salaam Girls na ujenzi wa shule ya Msingi Tegeta A.

Akitembelea mradi wa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari King'azi amepongeza hatua ya mradi ulipofikia na kuwaagiza ifikapo jumatatu mabati katika madarasa yawe yameshaezekwa na pia ifikapo tarehe 28 septemba, 2023 mradi uwe umekamilika

Halikadhalika Ntiruhungwa amepongeza hatua ya mradi wa ujenzi wa Shule ya sekondari ya Dar es salaam girls na shule ya Msingi Kibamba kwa kasi wanayoenda nayo 

"Mmejitahidi maelekezo niliyoyatoa mmeyafata hatua za mradi ipo vizuri na ntaendelea kutembelea ifikapo muda wa kukabidhi kila kitu kiwe kimekamilika"

Halikadhalika, Ntiruhungwa aliagiza katika miradi yote ambayo bado haijakamilika na kasi ya ujenzi ni ndogo  aliwaagiza Mhandisi na Afisa Elimu kuhakikisha wanakesha kusimamia miradi hiyo ikamilike na ifikapo tarehe 28 septemba, 2023 miradi hiyo ikabidhiwe ikiwa imekamilika.

"Kazi ifanyike usiku na mchana katika miradi ambayo haijakamilika nitapita kuona kama utekelezaji unafanyika". Alisisitiza Ntiruhungwa

Mkurugenzi Manispaa ya Ubungo Elias Ntiruhungwa akiongea na mafundi alipotembelea ujenzi wa shule ya sekondari ya King'azi nakuwasisitiza waongeze kasi ya ujenzi ili mradi wukamilike kwa wakati


Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa