• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA WAZIRI WA MIPANGO NA UWEKEZAJI KATIKA KITUO KIKUBWA CHA BIASHARA NA LOGISTIKI AFRIKA MASHARIKI

Posted on: September 18th, 2023

Waziri Ofisi ya Raisi Mipango na  Uwekezaji Mhe.Kitila Mkumbo amefanya ziara katika kituo kikubwa cha  Biashara na Logistiki Afika Mashariki (East Africa Commercial and Logistic Center) kinachojengwa ilipokuwa stendi ya zamani ya mabasi Ubungo kujionea hali ya mradi na hatua za mradi ulipofikia 

Katika Ziara hiyo iliyofanyika  tarehe 18 septemba, 2023 Mkumbo alisema kuwa uwepo wa kituo hiko cha kibiashara utaleta manufaa makubwa kwa watanzania ikiwemo upatikanaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi ambapo baada ya kukamilika kwa mradi huo  watanzania watapata bidhaa hapa hapa Tanzania kupitia kituo hicho

Aliendelea kwa kusema kuwa, Kitakua ni kituo kikubwa cha biashara kwa  afrika mashariki na  jangwa la sahara na pia Kupitia kituo hicho cha biashara kitaongeza mauzo ya bidhaa zetu kwenda nje ya nchi

"Hiki ni kituo muhimu kwa biashara na uwekezaji na pia niwatoe hofu wafanyabiashara wa kariakoo uwekezaji huu hautaenda kuharibu biashara zao". Alisisitiza Mkumbo

Na kituo hiki kikikamilika kitasaidia suala la ajira ambapo ajira za moja kwa moja zitakua 15,000 na zisizo za moja kwa moja ni 50,000. Alisema hayo Mkumbo

Niagize Halmashauri ikatoe ushirikiano kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa wakati kwani mapato yatakayopatikana yatasaidia Serikali yetu katika shughuli za maendeleo.

Nae, Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Hashim Komba amemshukuru Mheshimiwa Rais  wa Jamuhuli ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  kwa kazi kubwa anayofanya  katika nchi yetu ya Tanzania  na kusaidia uchumi  watanzania unazidi kukua

Aliendelea kwa kusema kuwa , Wilaya ya ubungo itaendelea kutoa ushirikiano kuhakikisha  mradi huu unakamilika kwa wakati


Aidha, Bi. Cathe Wang Mkurugenzi Mkuu wa kituo hicho akiwasilisha taarifa ya mradi  huo amesema kuwa kituo hicho kitajengwa kwa gharama ya jumla ya dola za kimarekani milioni 118 sawa fedha za kitanzania bilioni 271.


Waziri Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji  Mhe. Kitila  Mkumbo  akiwa na viongozi wakikagua maeneo mbalimbali ya majengo yanayojengwa katika kituo kikubwa cha biashara Afrika Mashariki 






















Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa