• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZINGATIENI MAADILI KATIKA ZOEZI LA KUIBUA KAYA MASIKINI

Posted on: July 6th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri Denice James amewataka wawezeshaji wa mpango wa TASAF kipindi cha pili awamu ya tatu kuzingatia kanuni taratibu na miongozo iliyowekwa katika zoezi la uibuaji wa kaya masikini katika Wilaya hiyo ili kuwafikia walengwa wanaostahili.

Kheri amewaeleza wawezeshaji hao wa ngazi ya mtaa leo Julai 6, 2021 kwenye kikao kazi cha kujenga uelewa kuhusu mpango huo wa kunusuru kaya masikini kipindi cha pili kwa viongozi, Watendaji na wawezeshaji na kueleza kuwa kazi hiyo ni mhimu sana katika kupunguza umasikini kwa wananchi watakaokuwa na sifa za kuingia kwenye mpango.

Kheri amesema "Nasisitiza kila aliyepewa kazi hii atafanya kwa uaminifu na uadilifu mkubwa ili kufikia lengo la Serikali la kupunguza umasikini kwa wananchi wetu kupitia mpango huu, kawahudumieni kwa upendo na haki"

Akitoa maelezo mafupi kuhusu mpango huo mbele ya washiriki wa mafunzo hayo mwakilishi wa Mkurugenzi mtendaji wa TASAF Tunu Munthali amesema, kwa kipindi cha awamu ya tatu ya mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAFIII) kinatekelezwa katika Halmashauri zote184 na za Tanzania Bara na Wilaya zote za Zanzibar.

Munthali ameeleza kuwa, katika kipindi hiki cha mpango kitaifa, TASAF inatarajia kufikia Kaya milioni moja laki nne na hamsini elfu (1,450,000) zenye wanufaika zaidi milioni saba (7,000,000) nchi mzima.

Aidha, katika kipindi hiki mpango utakikita zaidi kuongeza na kuboresha huduma za jamii ikiwemo kuendeleza rasilimali watoto hususani katika upatikanaji wa Elimu na Afya huduma ambazo ni mhimu katika ustawi wa jamii na Taifa kwa ujumla

Wanufaika wa mpango huu ni Kaya zote zinazoishi maisha duni ikijumuisha watoto chini ya miaka mitano wanaohudhuria kliniki,wanafunzi wa shule za awali, Msingi na Sekondari, wajawazito na wanakaya wenye ulemavu ambapo ruzuku watakazopokea ni ya Msingi na ya kutimiza masharti ya Elimu na Afya.

Aidha, katika mpango huo, kutakuwa na ajira zitazotokana na utekelezaji wa miradi itakayoiburiwa na walengwa kwenye maeneo yao ambazo zitawapa ujira.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic ameishukuru TASAF kwa mpango huu ambao utafanyika kwenye Mitaa yote ya Manispaa hiyo na kuahidi kusimamia ipasavyo utekelezaji wa mpango huo ili ulete tija katika kupunguza umasikini kwa wananchi.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa