• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Ubungo Municipal Council

  • Home
  • About US
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Secondary Education
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Units
      • Legal Services
      • Internal Audit
      • ICT
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Municipal By Laws
      • Municipal By Laws
      • Other Laws
  • Opportunities
    • Livestock
    • Agriculture
    • Markets
    • Bus Terminal
    • Industries
  • Services
    • Health
      • iCHF
      • Nutrition
      • Social welfare
    • Education
      • Pre and Primary Education
      • Secondary Education
    • Business
      • Service levy
      • Tax Registration
      • Business Licence
      • Hotel Levy
    • Enterpreneurship
      • Ten Percent Loans
    • Agriculture
    • Fishing
    • Livestock
      • UJUWA
  • Councilors
    • Councilors list
    • Council Committee
    • Council legal meeting
    • Meyor's schudule
  • Projects
    • Planned Projects
    • On going Projects
    • Completed projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Application Forms
    • Reports
    • Acts
    • Bronchures
    • Tender Advert
    • Strategic Plan
    • Newsletter
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Press Release
    • Speeches

CHANJO YA SURUA KUANZA KUTOLEWA FEBRUARI 01-5-2023

Posted on: January 27th, 2023

Katika kulinda Afya za wananchi hasa watoto chini ya umri wa mika mitano, miaka miwili na wasichana wizara ya afya kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo imekuwa ikitoa chanjo mbalimbali kwa makundi hayo ili kuimarisha afya zao na kuwakinga na magonjwa mbalimbali

Hayo yamesemwa leo Januari 27, 2023 na Mganga mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo katika zoezi la utoaji wa mafunzo kwa watoa huduma kutoka vituo mbalimbali vya afya kuhusu mpango maalumu wa kuimarisha chanjo ya surua kwa watoto chini ya umri wa miaka miwili ambao wamezaliwa kati ya Februari 2020 hadi Aprili 2022. Mafunzo hayo yametolewa na waratibu wa chanjo kutoka TAMISEMI kwa kushirikiana na maafisa wa idara ya Afya Manispaa ya Ubungo katika ukumbi wa Ngome uliopo Sinza Afrikasana

Chanjo hiyo ya surua inatarajiwa kutolewa kwa muda wa siku tano kutoka Februari 01 - 05, 2023 kwa watoto wote ambao hawajapata chanjo ya Surua au hawajakamilisha ratiba ya dozi mbili ya chanjo.Mganga mkuu wa Manispaa ya Ubungo Dokta Peter Nsanya amesema "Uimarishaji wa chanjo ya Surua kwa watoto chini ya miaka miwili ni muhimu sana kwaajili ya kuzuia magonjwa ya mlipuko kwa watoto kama ugonjwa wa Surua" amesema

Chanjo hii kwa Manispaa ya Ubungo inatarajiwa kuwafikia watoto 12,379 na itatolewa katika vituo vyote vya afya vinavyotoa huduma ya chanjo ambapo timu za wahamasishaji watakua wanapita kwenye mitaa yote kuwaelekeza wazazi/walezi wenye watoto chini ya miaka miwili kwenda kwenye vituo hivyo kwaajili ya kuwapatia watoto wao chanjo hiyo

Nae ndugu Given Mlay mratibu wa chanjo kutoka TAMISEMI amewasisitiza watoa huduma ambao wamepatiwa mafunzo hayo kwenda kuifanya kazi hii kwa uadilifu mkubwa ili kuhakikisha malengo ya kutoa chanjo hii yanafikiwa kwa kiwango kikubwa kwa maeneo yote ya Manispaa ya Ubungo

watoa huduma za afya wakipewa mafunzo kuhusu utoaji wa chanjoc

Aidha kwa wazazi/walezi wote wametakiwa kutoa ushirikiano kwenye kufanikisha zoezi hili kwa kuwapeleka watoto wao kwenda kupatiwa chanjo hiyo kwani mtoto ambaye hatopata chanjo hiyo ni hatari kwa afya yake na jamii inayomzunguka. KINGA NI BORA KULIKO TIBA

Announcements

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • View All

Latest News

  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA BILIONI 8.2 UBUNGO YAPITA KWA KISHINDO MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    June 05, 2025
  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • View All

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Quick Links

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Related Links

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Postal Address: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Mobile:

    Email: md@ubungomc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Site Map

Copyright ©2017Ubungo Municipal Council All rights reserved.