• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Vitengo
      • Legal Services
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Sheria ndogo ndogo za Manispaa
      • Other Laws
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
      • iCHF
      • Lishe
      • Social welfare
    • Elimu
      • Pre and Primary Education
      • Elimu Sekondari
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
      • Ten Percent Loans
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Ushuru wa Hoteli

USHURU WA NYUMBA ZA KULALA WAGENI (HOTEL LEVY)

· Ushuru huu unalipwa kwa kufuata Sheria ya nyumba za kulala Wageni(The Hotels Act) ya mwaka 1965 sura ya 105 kifungu cha 26 (2) pamoja na Marekebisho yake ya mwaka 2002 (The Hotel Act Wap. 105) toleo la mwaka2002.

· Asilimia 20% ya jumla ya Mapato yanayotokana na malipo ya watejawanaolala kwenye nyumba husika ya wageni hutozwa ushuru kwa kila mwezi.

· Mlipaji wa ushuru huo ni mmiliki wa Biashara ya nyumba hiyo ya kulalawageni.  Malipo hayo kufanyika kuanzia tarehe 1 hadi 7 ya kila mwezi.

Taratibu za Ushuru wa Nyumba za kulala wageni ni kama ifuatavyo:-

· Mfanyabiashara wa nyumba ya kulala Wageni anapaswa kujaza Kitabu chaWageni wanaolala au kuingia kwenye nyumba hiyo kila siku (visitors book).

· Mwendesha Biashara ya nyumba ya kulala wageni anatakiwa ajaze fomu zawageni wanaopangisha hapo kila siku (Daily occupancy Return) na za kila mwezi(Monthly occumpancy Return).

· Ushuru huu hulipwa na Wafanyabiashara wa Nyumba za kulala wageniambao hawajasajiliwa kulipa VAT.

Adhabu:

· Asilimia 25% ya Ushuru wa Hoteli.  Itatozwa endapo mlipajiatakuwa amechelewa kulipia zaidi ya siku saba kifungu cha 32(a).

· Ongezeko la asilimia 10% itakayokuwa inaongezeka kwa kiwango cha Adaambayo haijalipiwa kwa kila siku thelathini (kifungu cha 32 (b) kinaelekeza.

· Kukiuka taratibu za ulipaji wa Hoel levy faini ni Sh. 500,000/= (lakitano).  Mfano kudanganya mapato, kutokuwa na kitabu cha kumbukumbu nk.

· Kukiuka ulipaji wa Hotel Levy faini ni Shs. 2,000,000/= Mfano; Nyumbaya Wageni ambao haijalipa Hotel Levy tangu kuanzishwa kwake.

Taarifa

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • FANYENI KAZI, MSIJALI MASILAHI BINAFSI" ~ CHALAMILA

    May 01, 2025
  • HUDUMA YA KUJIFUNGUA KWA UPASUAJI YAANZA RASMI KITUO CHA AFYA GOBA,WANANCHI WAKARIBISHWA

    April 30, 2025
  • Tazama zote

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa