• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Ubungo Municipal Council

  • Home
  • About US
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Secondary Education
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Units
      • Legal Services
      • Internal Audit
      • ICT
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Municipal By Laws
      • Municipal By Laws
      • Other Laws
  • Opportunities
    • Livestock
    • Agriculture
    • Markets
    • Bus Terminal
    • Industries
  • Services
    • Health
      • iCHF
      • Nutrition
      • Social welfare
    • Education
      • Pre and Primary Education
      • Secondary Education
    • Business
      • Service levy
      • Tax Registration
      • Business Licence
      • Hotel Levy
    • Enterpreneurship
      • Ten Percent Loans
    • Agriculture
    • Fishing
    • Livestock
      • UJUWA
  • Councilors
    • Councilors list
    • Council Committee
    • Council legal meeting
    • Meyor's schudule
  • Projects
    • Planned Projects
    • On going Projects
    • Completed projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Application Forms
    • Reports
    • Acts
    • Bronchures
    • Tender Advert
    • Strategic Plan
    • Newsletter
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Press Release
    • Speeches

CLINIKI TEMBEZI YA UPIMAJI WA KIFUA KIKUU BURE UBUNGO, 29 WABAINIKA

Posted on: November 1st, 2023

Katika kuhakikisha Mpango wa Taifa wa  kutokomeza Kifua kikuu na ukoma,  Manispaa ya Ubungo kwa kushirikiana na Amref Afya shirikishi inaendesha zoezi la upimaji na utambuzi wa kifua kikuu katika Manispaa hiyo kupitia Klinik Tembezi lengo ikiwa ni kuwasogezea karibu huduma wananchi

Zoezi hilo linalofanyika kwa muda wa siku 4 lilianza oktoba 30,2023 katika kituo kikuu cha mabasi cha magufuli na litamalizika novemba 2, 2023 katika soko la ndizi Mabibo ambapo hadi sasa jumla ya watu 329 wamepimwa na kati ya hao 29 wamegundulika na TB na wameanzishiwa huduma ya matibabu

Mratibu wa zoezi hilo Dkt Sophia Kisoma ni mratibu wa Kifua kikuu na Ukoma katika Hospitali ya Sinza  Palestina, amesema kuwa mwitikio wa wananchi wa kutaka kupima Ugonjwa huo ni mzuri na wale wanaopatikana na ugonjwa wanaanzishiwa matibabu haraka sana.

Dkt Kisoma anasema "Mgonjwa anayepatikana na Kifua kikuu tunakaa nae muda mrefu ambapo muda wa chini kabisa ni miezi sita kwa maana ya matibabu lakini wengine wanapata matiba mpaka miaka miwili hivyo tunapenda watu wawe na utamaduni wa kucheki afya zao mara kwa mara ili kupata matibabu mapema"

Aidha, Dkt Kisoma anaeleza kuwa ugonjwa  wa Kifua kikuu unasambaa kwa njia ya hewa na upimaji wake unafanyika kwa kufanya uchunguzi kwa njia ya mionzi (x-ray) na  kupima sampuli ya mahohozi kwenye machine ya kupima vina saba ambapo katiza zoezi hili vipimo ni bure , hivyo wananchi wajitokeze kupata huduma hiyo.

Aliendelea kusema kuwa Manispaa ya Ubungo kupitia watoa huduma ngazi ya jamii imeendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya Ugonjwa huu na wagonjwa waliopatikana na mambukizi wamekuwa wakipelekwa kwenye vituo ambavyo viko karibu makazi yao ili wapate huduma kwa urahisi

Mtoa huduma ngazi ya jamii Ndg.Dickson Abdallah alisema kuwa katika kuhakikisha wananchi wanapata elimu kuhusiana na Kifua kikuu huwa tunatembelea  wananchi mtaani na kuwapa elimu na huduma ya upimaji bure na baada ya  upimaji huwa wanawapeleka hospitali au kituo cha afya kwa ajili ya kuanza kupatiwa dawa kwa wale wanakutwa na ugonjwa huo


Pichani ni wananchi waliojitokeza kupata huduma ya upimaji wa kifua kikuu katika Clinik tembezi

Announcements

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • View All

Latest News

  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • CRDB WAMKARIBISHA DC MSANDO KWA KUTOA MADAWATI 30 NA VIFAA VYA MICHEZO

    May 22, 2025
  • View All

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Quick Links

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Related Links

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Postal Address: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Mobile:

    Email: md@ubungomc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Site Map

Copyright ©2017Ubungo Municipal Council All rights reserved.