• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Ubungo Municipal Council

  • Home
  • About US
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Secondary Education
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Units
      • Legal Services
      • Internal Audit
      • ICT
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Municipal By Laws
      • Municipal By Laws
      • Other Laws
  • Opportunities
    • Livestock
    • Agriculture
    • Markets
    • Bus Terminal
    • Industries
  • Services
    • Health
      • iCHF
      • Nutrition
      • Social welfare
    • Education
      • Pre and Primary Education
      • Secondary Education
    • Business
      • Service levy
      • Tax Registration
      • Business Licence
      • Hotel Levy
    • Enterpreneurship
      • Ten Percent Loans
    • Agriculture
    • Fishing
    • Livestock
      • UJUWA
  • Councilors
    • Councilors list
    • Council Committee
    • Council legal meeting
    • Meyor's schudule
  • Projects
    • Planned Projects
    • On going Projects
    • Completed projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Application Forms
    • Reports
    • Acts
    • Bronchures
    • Tender Advert
    • Strategic Plan
    • Newsletter
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Press Release
    • Speeches

CWT UBUNGO YAWAPIGA MSASA WALIMU NA WARATIBU WA ELIMU KATA

Posted on: February 10th, 2022


Chama cha walimu Ubungo kwa kushirikiana na Manispaa ya Ubungo leo tarehe 10/02/2022 kimekutana na maafisa elimu kata na walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari lengo ikiwa ni kuwapa mafunzo ya kuwa viongozi bora kwa maana ya kuboresha na kuongeza ufaulu mashuleni.


Katibu wa chama cha walimu Ubungo, Maisa Joseph amewataka walimu hao kuwa na uongozi bora na mawasiliano mazuri baina yao na wanaowasimamia ili kuongeza ufaulu kwa wanafunzi na kuiwezesha kuwa katika ufaulu wa kumi bora Nchini.


Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo, Selemani Kateti (Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala) amekipongeza chama cha walimu kwa namna wanavyoweza  kushirikiana vyema na serikali katika kuhakikisha maslahi ya walimu wanafuatwa na amewaomba wawe na ofisi ndani ya Manispaa ili kuendelea kushirikiana vizuri zaidi.


Kateti amewasisitiza walimu na waratibu hao wa elimu kuwajibika ipaswavyo katika kutekeleza majukumu yao na kuwajibika katika kusimamia miradi mbalimbali ya maendeleo katika shule zao kwa kushirikisha walimu na wadau wengine shuleni hapo. Na kuwasimamia walimu wanaowasimamia kutimiza majukumu yao ipaswavyo.


“Kunawajibu kama kiongozi katika kusimamia majukumu yako ukiwa kama kiongozi wa serikali wa eneo Fulani.”


Aidha Kateti ameeleza kwamba katika kuhakikisha maslahi ya walimu yanafuatwa atahakikisha kila mtumishi mwenye sifa za kupanda daraja, kubadilishwa muundo yote yatafanyika sambamba na ubadilishwaji wa mishahara ili kuepuka malimbikizo kwa watumishi, na kuwaondolea mlolongo mrefu wa kupitishiwa fomu za mikopo.


Kateti amewataka walimu hao kuhakikisha taaluma inapanda kwa kuhakikisha ufaulu unaongezeka mashuleni na hicho ni kipimo cha kupima uwajibikaji wao katika kutekeleza majukumu yao, Pia amewataka walimu hao kuipa nguvu benki ya walimu ambayo ni kama wameisahau.


 Naye Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Taifa ya chama cha walimu Mwalimu Nelson Mabula amempongeza Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala kwa namna anavyojali maslahi ya watumishi na ameeleza kuwa walimu wote ambao walinyang’anywa vyeo serikali inaangalia namna ya kuwarudishia vyeo hivyo na amewataka walimu kufanya kazi kwa weledi kwa maslahi ya Umma.


Nae mwakilishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) ya Wilaya Fides G Tairo ameeleza kuwa tume imejikita katika kusimamia nidhamu kwa walimu, na kwamba ameeleza mwalimu Mkuu ana mamlaka ya kumpa mwalimu anaemsimamia adhabu kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu za Nchi, ili kuimarisha utaendaji kazi wao kwa maslahi ya Taifa.



Announcements

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • View All

Latest News

  • NI LAZIMA UJENZI WA UKUTA UANZE NA KUKAMILIKA" DC MSANDO

    May 12, 2025
  • CHALAMILA AZINDUA BIASHARA SAA 24 UBUNGO

    May 09, 2025
  • KATA YA UBUNGO YAKABIDHI MKOPO WA TSH. 122,800,000/= KWA VIKUNDI SITA VYA ASILIMIA 10

    May 02, 2025
  • KAMPENI YA KATAA UCHAFU, SAFISHA, PENDESHA UBUNGO YAZINDULIWA, MITAA SAFI NA MICHAFU KUPEWA ZAWADI

    May 03, 2025
  • View All

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Quick Links

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Related Links

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Postal Address: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Mobile:

    Email: md@ubungomc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Site Map

Copyright ©2017Ubungo Municipal Council All rights reserved.