• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Ubungo Municipal Council

  • Home
  • About US
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Structure
    • Departments
      • Secondary Education
      • Agriculture, Livestock and Fisheries
      • Industry,Trade and Investments
      • Planning and Coordination
      • Infrastructure, Rural and Urban Development
      • Pre-Primary and Primary Education
      • Human Resources Management and administration
      • Health, Social Welfare and Nutrition Services
      • Communit Development
    • Units
      • Legal Services
      • Internal Audit
      • ICT
      • Procument Management
      • Government Communication
      • Finance and Accounts
      • Sports, Culture and Arts
      • Waste Management and Sanitation
      • Natural Resources and Environment Conservation
    • Municipal By Laws
      • Municipal By Laws
      • Other Laws
  • Opportunities
    • Livestock
    • Agriculture
    • Markets
    • Bus Terminal
    • Industries
  • Services
    • Health
      • iCHF
      • Nutrition
      • Social welfare
    • Education
      • Pre and Primary Education
      • Secondary Education
    • Business
      • Service levy
      • Tax Registration
      • Business Licence
      • Hotel Levy
    • Enterpreneurship
      • Ten Percent Loans
    • Agriculture
    • Fishing
    • Livestock
      • UJUWA
  • Councilors
    • Councilors list
    • Council Committee
    • Council legal meeting
    • Meyor's schudule
  • Projects
    • Planned Projects
    • On going Projects
    • Completed projects
  • Publications
    • Guidelines
    • Application Forms
    • Reports
    • Acts
    • Bronchures
    • Tender Advert
    • Strategic Plan
    • Newsletter
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Video Gallery
    • Press Release
    • Speeches

MANISPAA YA UBUNGO YAJIPANGA KUONGEZA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: December 17th, 2020

Manispaa ya Ubungo jijini Dar Es Salaam imeweka mikakati madhubuti ya  kuongeza ukusanyaji wa  mapato ya manispaa hiyo kwa kuongeza juhudi za usimamizi wa vyanzo vilivyopo pamoja na kubuni vyanzo vipya vya mapato lengo ikiwa kupandisha mapato kutoka bilioni 18  mpaka kufikia angalau bilioni 20 kwa mwaka.


Mikakati hiyo imejadiliwa  leo kwenye kikao cha kujadili namna bora ya kuongeza makusanyo ya mapato ya manispaa hiyo kilichojumuisha waheshimiwa madiwani , wakuu wa idara na vitengo pamoja na watendaji wa kata na mitaa  ambapo kila kata imewasilisha mikakati ya namna ya kuongeza mapato kwa kuimarisha vyanzo vya mapato.

Wajumbe wakifuatilia majadiliano ya namba ya kuongeza mapato ya manispaa ya Ubungo


Akizungumza wakati akifungua kikao hicho,  Mustahiki Meya wa Manispaa hiyo  Jaffary Nyaigesha amesema kuwa Manispaa ya Ubungo ina uwezo wa kukusanya mapato makubwa zaidi kuliko inavyokusanya sasa ikiwa tu viongozi na watendaji wa manispaa  tutashirikiana kwa pamoja kusimamia ukusanyaji wa mapato.



Mtahiki Meya ameeleza kuwa, Vyanzo vya mapato vinavyotakiwa kusimamiwa ni pamoja na vibali vya Ujenzi, Kodi za ardhi, ushuru wa huduma, kuimarishwa ukusanyaji wa mapato kwenye masoko pamoja na kutengeneza mazingira mazuri ya kufanyia biashara kwa ajili ya kuvutia uwekezaji,ukuaji wa biashara ndogondogo na za kati na hatimaye kuongeza mapato.

Mheshimiwa Diwani wa Kata ya manzese akitoa mchango wa namna ya kuboresha ukusanyaji wa Mapato ya manispaa ya Ubungo.


“Manispaa ya Ubungo inapoteza mapato mengi sana kutokana na mianya mingi ya uvujishaji mapato kutokana na usimamizi mdogo au baadhi ya viongozi


 Kwa upande wake Diwani wa kata ya Sinza   ameeleza kuwa , Pamoja na kubuni vyanzo vya mapato na kusimamia ukusanyaji wa mapato, wajumbe wa kikao wameadhimia kuongeza utoaji wa elimu ya mlipa kodi ili wafanyabiashara watambue umuhimu wa kulipa kodi kwa hiyari “ tumieni vyombo vya habari ikiwemo radio za kijamii pamoja mitandao ya kijamii ambayo imeonekana kutumiwa zaidi kupata taarifa mbalimbali”


Aidha, Mkurugenzi wa Manispaa Beatrice   Dominic  ameeleza kuwa Manispaa inaendelea kusimamia ukusanyaji wa mapato kwa njia ya kielektroniki ambapo jumla ya PoS 130 zinatumika kukusanya mapato katika vyanzo mbalimbali ikiwa njia ya kuhakikisha mapato ya Manispaa hayapetei, pia Manispaa iko kwenye mchakato wa kununua PoS 100 Kwa lengo la kuimarisha ukusanyaji wa mapato.


Pia, Beatrice amesisitiza watendaji wa kata na Mitaa kusimamia kwa dhati ukusanyaji wa mapato pamoja na kubuni vyanzo vipya vya mapato ili Manispaa isipoteze mapamapato


Watendaji wa kata na mitaa wakisikiliza kwa makini Kikakati ya kuongeza ukusanyaji wa mapato

"Tunapaswa kuwajibika Kwa pamoja ili kuongeza Kasi ya ukusanyaji wa Kodi na tozo mbalimbali ili tuboreshe utoaji wa huduma kwa wananchi ikiwemo utekelezaji wa miradi ya maendeleo" alisisitiza Beatrice


Kwa mwaka wa fedha 2020/2021 Manispaa ya Ubungo ilikasimia kukusanya bilioni 18 na mapaka sasa imefanikiwa kukusanya  Zaidi ya 45%.


Announcements

  • KIBALI CHA KUANZA KUTOZA USHURU WA KUSHUSHA NA KUPAKIA MIZIGO July 17, 2023
  • KUKANUSHA TAARIFA YA UWEPO WA HARAFU MBAYA STENDI YA MABASI MAGUFULI July 06, 2023
  • MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 Ubungo September 06, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • View All

Latest News

  • MIRADI 7 YENYE THAMANI YA BILIONI 8.2 UBUNGO YAPITA KWA KISHINDO MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

    June 05, 2025
  • TUZINGATIE USAFI KUEPUKA MAGONJWA

    May 31, 2025
  • BODI YA AFYA UBUNGO YAPONGEZA WATAALAM WA AFYA NA KUTOA MAAGIZO YAKUBORESHA NYANJA MBALIMBALI

    May 29, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI MNATANGAZA UTEKELEZAJI WA MIRADI KWA WANANCHI

    May 24, 2025
  • View All

Video

KIWANJA CHAKO KINA HATI? | UMEKUWA UKISUMBULIWA NA MIGOGORO YA ARDHI? | KARIBU KWENYE ARDHI CLINIC
More Videos

Quick Links

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Related Links

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Postal Address: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Mobile:

    Email: md@ubungomc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Site Map

Copyright ©2017Ubungo Municipal Council All rights reserved.