- Home
- About US
-
Administration
- Structure
-
Departments
- Secondary Education
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Units
- Municipal By Laws
- Opportunities
- Services
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makalla ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa kupata HATI SAFI kwenye ukaguzi wa fedha mwaka 2020/2021 na kuielekeza kufanyia kazi maoni na mapendekezo yaliyotolewa na mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za Serikali CAG ili kuendelea kupata hati safi.
Aidha, Mhe. Makalla ameipongeza Manispaa ya Ubungo kwa kutumia vishikwambi katika kuendesha vikao na mikutano ya Halmashauri.


