- Home
- About US
-
Administration
- Structure
-
Departments
- Secondary Education
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Units
- Municipal By Laws
- Opportunities
- Services
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
"Bado maeneo kama Mbezi na Manzese kuna changamoto kubwa ya wafanyabiashara kurudi kwenye maeneo waliyokatazwa hivyo basi Watendaji lazima muhakikishe maeneo hayo yanarudi kuwa masafi na kuwapeleka wafanyabiashara kwenye maeneo waliyopangwa" alisema
- Kampeni ya usafi wa mwisho wa mwezi kiwilaya inatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Novemba 26 katika kata ya Mbezi eneo la njiapanda ya Goba hadi kituo cha Mabasi cha Magufuli ambapo mgeni rasmi atakua ni Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James

