- Home
- About US
-
Administration
- Structure
-
Departments
- Secondary Education
- Agriculture, Livestock and Fisheries
- Industry,Trade and Investments
- Planning and Coordination
- Infrastructure, Rural and Urban Development
- Pre-Primary and Primary Education
- Human Resources Management and administration
- Health, Social Welfare and Nutrition Services
- Communit Development
- Units
- Municipal By Laws
- Opportunities
- Services
- Councilors
- Projects
- Publications
- Media Center
Aidha Dr. Mhede ameeleza kuwa muda wowote kutoka sasa DART watasaini mkataba na mtoa huduma mwingine wa pili atakaeongeza mabasi mengine 177 ili kuongeza ufanisi wa huduma na kukabiliana na changamoto zilizopo ikiwemo changamoto vya msongamano pamoja kusubiri muda mrefu vituoni.
“pamoja na kazi kubwa mnayofanya lakini uhitaji kwa wananchi bado ni mkubwa hivyo mnatakiwa kupanua wigo wa utoaji huduma hiyo” alisema

